Uchaguzi 2020 Iwapo CCM itarudi madarakani, watumishi wa umma kukaa miaka sita na mshahara ule ule wa tangu Julai, 2015

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,991
144,323
Kwa upande wa Watumshi wa Umma,Bajeti hii iliopita jana inamanisha jambo moja kubwa sana kwao nalo ni kubaki na mshahara ule ule wa tangu mwaka wa fedha wa 2015/2016 ulioanza July, 2015 na mshahara huo wataenda nao mpaka mwaka wa fedha wa 2021/2022(July 2021) hapa ikamanisha watakaa kwa kipindi cha miaka 6 na mshahara ule ule, na asipongeza tena hiyo July, 2021 iwapo CCM itarudi madarakani, maana yake watakaa kwa miaka 7 mpaka July, 2022 katika mwaka wa fedha wa 2022/2023.

Hakika hii ni hatari, na hili jambo lina madhara makubwa sana kwa watumishi, na madhara haya yatagusa mpaka mafao yao kwani mshahara mtu anaostaafu nao, ndio hutumika katika kukokotoa mafao yake(nijuavyo mimi); hivyo, athari za kutopandisha mishahara ya watumishi wa umma kwa miaka hii 6, itagusa kila mtumishi alieko katika utumishi wa umma leo hii hata kama bado ana miaka 10 au 20 ya kuendelea kuwa kazini unless utaratibu wa kukokokotoa mafao utakuja badilishwa huko mbeleni.

Kuirudisha CCM madarakani,hasa hii ya Magufuli, itakuwa ni kosa kubwa sana la kuendeleza unyanyasaji huu wa watumishi wa umma.
 
Mkuu mimi naamini kabisa Wafanyakazi wengi wanajitambua, Wakulima wengi wanajitambua na Wafanyabiashara wengi wanajitambua. Mateso makubwa waliyoyapata ndani ya hii miaka mitano chini ya huyo dikteta KAMWE hawawezi kumpigia kura Mbunge wa ccm wala huyo dikteta lakini bila TUME HURU ya Uchaguzi hiyo ni kazi bure kwani kutakuwa na wizi wa kufa mtu ambao pia unaweza kusababisha damu kumwagika sehemu mbali mbali nchini. TUME HURU ndiyo dawa pekee ya kuwaondoa hawa wahuni madarakani.

2430180_ERFcWLLW4AIVOAq.jpg


Kwa upande wa watumshi wa umma,Bajeti hii iliopita jana inamanisha watumishi wa umma kubaki na mshahara ule ule wa tangu mwaka wa fedha wa 2015/2016 ulioanza July 2 na mshahara huo wataenda nao mpaka mwaka wa fedha wa 2021/2022 hapa ikamanisha watakaa kwa kipindi cha miaka 6 na mshahara ule ule.

Hakika hili jambo lina madhara makubwa sana kwa watumishi na madhara haya yatagusa mpaka mafao yao kwani mshahara mtu anaostaafu nao hutumika katika kukokotoa mafao yake hivyo hii miaka 6 itaayjiti kila mumishi alieko katika utumishi wa umma leo.

Kuirudisha CCM madarakani itakuwa ni kosa kubwa sana la kuendeleza unyanyasaji huu wa watumishi wa umma.
 

Attachments

  • ERFcWLLW4AIVOAq.jpg
    ERFcWLLW4AIVOAq.jpg
    104.5 KB · Views: 1
Mkuu mimi naamini kabisa Wafanyakazi wengi wanajitambua, Wakulima wengi wanajitambua na Wafanyabiashara wengi wanajitambua. Mateso makubwa waliyoyapata kwa ndani ya hii miaka mitano chini ya huyo dikteta KAMWE hawawezi kumpigia kura Mbunge wa ccm wala huyo dikteta lakini bila TUME HURU ya Uchaguzi hiyo ni kazi bure kwani kutakuwa na wizi wa kufa mtu ambao pia unaweza kusababisha damu kumwagika sehemu mbali mbali nchini. TUME HURU ndiyo dawa pekee ya kuwaondoa hawa wahuni madarakani.

2430180_ERFcWLLW4AIVOAq.jpg
Huu ni sawa na ukatili kwa watumishi wa umma.
 
Kwa upande wa watumshi wa umma,Bajeti hii iliopita jana inamanisha jambo moja kubwa sana kwao nalo ni kubaki na mshahara ule ule wa tangu mwaka wa fedha wa 2015/2016 ulioanza July, 2015 na mshahara huo wataenda nao mpaka mwaka wa fedha wa 2021/2022(July 2021) hapa ikamanisha watakaa kwa kipindi cha miaka 6 na mshahara ule ule, na asipongeza tena hiyo July, 2021 iwapo CCM itarudi madarakani, maana yake watakaa kwa miaka 7 mpaka July, 2022.

Hakika hii ni hatari na hili jambo lina madhara makubwa sana kwa watumishi na madhara haya yatagusa mpaka mafao yao kwani mshahara mtu anaostaafu ndio hutumika katika kukokotoa mafao yake(nijuavyo mimi) hivyo athari za kutopandisha mishahara ya watumishi wa umma kwa miaka hii 6 itagusa kila mumishi alieko katika utumishi wa umma leo.

Kuirudisha CCM madarakani itakuwa ni kosa kubwa sana la kuendeleza unyanyasaji huu wa watumishi wa umma.
Watumishi wauma wajiandae tu kuwa kama CCM ikiendelea kutawala hawatapata nyongeza hata senti tano. Alishawaambia kuwa mapori yapo mengi sana Tanzania kama wanaona mishahara midogo waende kulima.
 
Kabisa Mkuu wengi wana madeni makubwa hadi kwenye NYUSI. Gharama za Maisha toka 2015 hadi hii leo zimepanda sana na hivyo uwezo wa Wafanyakazi kumudu gharama zao za kila siku za maisha umeshuka mno hivyo wengi kuingia kwenye madeni makubwa ili kuweza kumudu gharama hizo. Matokeo yake mishahara yao yote inaishia kulipa madeni na huku madeni yakizidi kuongezeka kwani wanalipa RIBA tu wakati principal hawana uwezo wa kulipa.

Huu ni sawa na ukatili kwa watumishi wa umma.
 
Kabisa Mkuu wengi wana madeni makubwa hadi kwenye NYUSI. Gharama za Maisha toka 2015 hadi hii leo zimepanda sana na hivyo uwezo wa Wafanyakazi kumudu gharama zao za kila siku za maisha umeshuka mno hivyo wengi kuingia kwenye madeni makubwa ili kuweza kumudu gharama hizo. Matokeo yake mishahara yao yote inaishia kulipa madeni na huku madeni yakizidi kuongezeka kwani wanalipa RIBA tu wakati principal hawana uwezo wa kulipa.
Mkuu,unachoongea ni ukweli mtupu.Watumishi hivi sasa wamegeuka fursa kwa wakopeshaji iwe ni mabenki au watu binafsi mitaani wanaokopesha kwa riba huku mwajira wao mkuu kutwa kuhubiri watu wachape kazi wakati hata hela za kujikimu kwa vitu basic zikwa ni za shida.
 
Kuwa mfanyakazi Tanzania ni Laana
Sema kuwa mtumishi wa umma. Wafanyakazi hawana ugumu kama sisi watumishi wa umma.

Kuna taasi za serikali ziliongezewa mshahara. Hao ndiyo wafanyakazi.

Nafurahia uzalendo wangu,ama sivyo ningekuwa nishafanya hujuma kubwa sana. Lakin namuogopa Mungu na kuipenda nchi yangu na watu wake.

Hawa watawala wanapita tu.
 
Mkuu, watumishi wa umma wako laki nne hivi. Hata wasipopiga kura upande wa YESU hawawezi kuleta tofauti yoyote. Suala la muhimu ni kwamba wajiongeze tu kutafuta kipato cha ziada kwenye biashara ndogo ndogo
Umesahau hao watumishi laki nne unaowasema wana watu wangapi nyuma yao?.
 
Kabisa Mkuu wengi wana madeni makubwa hadi kwenye NYUSI. Gharama za Maisha toka 2015 hadi hii leo zimepanda sana na hivyo uwezo wa Wafanyakazi kumudu gharama zao za kila siku za maisha umeshuka mno hivyo wengi kuingia kwenye madeni makubwa ili kuweza kumudu gharama hizo. Matokeo yake mishahara yao yote inaishia kulipa madeni na huku madeni yakizidi kuongezeka kwani wanalipa RIBA tu wakati principal hawana uwezo wa kulipa.
Mkuu kuna mabadiliko makubwa sana yatatokea uchaguzi huu 2020 tusihofie hivi vigelegele vya woga na kujipendekeza.
Nilikuwa naongea na mama yeyoo ambaye hadi kufikia 2017 kabla ya septemba ulikuwa humuambii kitu kuhusu CCM maana yeye ni mtumishi wa umma na katika kanafasi nyeti kidogo.
Lakini Leo anaichukia ccm kuliko hata mie hadi naogopa. Na pengine kama nataka nife upesi sana basi kesho nimwambie nimeunga mikono juhudi. Ataniua.
Kwa hiyo watumishi wengi kama sio wote, hawawezi chagua ccm na wanawaambia ndugu zao wategemezi haki ngumu inatokana na ccm.
 
Mkuu hilo likitokea nitalia machozi ya furaha na huzuni kwa jinsi Nchi yetu ilivyopitia vipindi vigumu mno chini ya hawa wahuni. Nadhani pia Watanzania wengi watalia machozi ya furaha na huzuni na mitaani itakuwa kama tumepata uhuru wetu kwa mara ya kwanza na furaha yake ile furaha ya December 9, 1961 haitaona ndani kabisa kwani itakuwa kubwa sana isiyo kifani.

Mkuu kuna mabadiliko makubwa sana yatatokea uchaguzi huu 2020 tusihofie hivi vigelegele vya woga na kujipendekeza.
Nilikuwa naongea na mama yeyoo ambaye hadi kufikia 2017 kabla ya septemba ulikuwa humuambii kitu kuhusu CCM maana yeye ni mtumishi wa umma na katika kanafasi nyeti kidogo.
Lakini Leo anaichukia ccm kuliko hata mie hadi naogopa. Na pengine kama nataka nife upesi sana basi kesho nimwambie nimeunga mikono juhudi. Ataniua.
Kwa hiyo watumishi wengi kama sio wote, hawawezi chagua ccm na wanawaambia ndugu zao wategemezi haki ngumu inatokana na ccm.
 
Mkuu, watumishi wa umma wako laki nne hivi. Hata wasipopiga kura upande wa YESU hawawezi kuleta tofauti yoyote. Suala la muhimu ni kwamba wajiongeze tu kutafuta kipato cha ziada kwenye biashara ndogo ndogo

Biashara bila uwezo wa watu kufanya manunuzi? Mkuu wewe na viongozi wako muwe mnafikiria sawasawa basi? Kwa makusudi kabisa tunatengeneza taifa la watu masikini wa kutupwa.

Serikali kubana pesa hata kwa mwaka mmoja kunaweza kuleta athari za miaka mitano mbele, unapoacha kuongeza nyongeza ya mshahara kwa miaka mitano practically una ruin system hata ya miaka kumi mbele mambo hayatakuwa sawa, kama haikupatikana pesa ya nyongeza kwa watumishi kwa mwaka mmoja malimbikizo ya miaka mitano mbele mtayapata wapi muwalipe hawa watu kama sio dhuluma ya moja kwa moja?
 
Kwa upande wa Watumshi wa Umma,Bajeti hii iliopita jana inamanisha jambo moja kubwa sana kwao nalo ni kubaki na mshahara ule ule wa tangu mwaka wa fedha wa 2015/2016 ulioanza July, 2015 na mshahara huo wataenda nao mpaka mwaka wa fedha wa 2021/2022(July 2021) hapa ikamanisha watakaa kwa kipindi cha miaka 6 na mshahara ule ule, na asipongeza tena hiyo July, 2021 iwapo CCM itarudi madarakani, maana yake watakaa kwa miaka 7 mpaka July, 2022 katika mwaka wa fedha wa 2022/2023.

Hakika hii ni hatari na hili jambo lina madhara makubwa sana kwa watumishi na madhara haya yatagusa mpaka mafao yao kwani mshahara mtu anaostaafu ndio hutumika katika kukokotoa mafao yake(nijuavyo mimi) hivyo athari za kutopandisha mishahara ya watumishi wa umma kwa miaka hii 6 itagusa kila mtumishi alieko katika utumishi wa umma leo hii hata kama bado ana miaka 10 au 20 ya kuendelea kuwa kazini unless utaratibu wa kukokokotoa mafao utakuja badilishwa huko mbeleni.

Kuirudisha CCM madarakani itakuwa ni kosa kubwa sana la kuendeleza unyanyasaji huu wa watumishi wa umma.

Asichaguliwe
 
Back
Top Bottom