Alamasroad
Member
- Jun 5, 2009
- 44
- 0
Kweli jamani hivi ripoti mnayo maana mimi binafsi sijapata fulsa kuiona au sikuwa na bahati mwaka sasa unakaribia kweli siamini kama inawezekana katika zama hizi.
Mwenye ripoti hiyo naomba anisaidie ili nami niweze fahamu ni kipi kilijiri na kipi kilijiri.
Ahsante
Mwenye ripoti hiyo naomba anisaidie ili nami niweze fahamu ni kipi kilijiri na kipi kilijiri.
Ahsante