only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Hii tabia ya kung'ata lips kisha unaishia kwa kasi hadi inatoa sauti mimi najisikia mfadhaiko sana. Kila ukisoma habari hapo luningani Azam two mimi husubiria tukio hilo unalolipendaga mara kwa mara na zile kucha ndefu zenye rangi mimi hoi hasa ukiwa unabishana na Charles Hiraly mimi hoi.
Umenisoma
Mkuu Raymond Nyamwihula anakusikia...ndio maana tunawaambia muoe mapema, kabla ya kuwaiwa na Ray wewe ulikuwa na nafasi mkuu. Ila kama unamtafuta nicheki inbox nikuunganishe.