Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
Hakukuwa na haja ya Yanga kumsajili Kaseja kwa kuwa walikuwa tayari wana kipa mwingine, Ivo, ambaye naye ni top class, hiyo hela iliyotumika kwa usajili wa Kaseja ingeweza kutumika kwa usajili wa wachezaji wa ndani. Naona kama huu ulikuwa ni usajili wa kukomoana na kuonyeshana jeuri tu.