Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Katiba ya Tz mparaganyiko wa hali ya juu.
Kama JK bado ni raisi wa Tz mpaka leo then akishinda anaapishwa kwa ajili ya nini wakati bado hajautema huo uraisi.
Na sasa JK anatambulika kama nani?
Shein ni raisi wa Zanzibar kuanzia leo does that mean bado ni makamu wa raisi bse bado hajautema rasmi.
Total confusion
Kama JK bado ni raisi wa Tz mpaka leo then akishinda anaapishwa kwa ajili ya nini wakati bado hajautema huo uraisi.
Na sasa JK anatambulika kama nani?
Shein ni raisi wa Zanzibar kuanzia leo does that mean bado ni makamu wa raisi bse bado hajautema rasmi.
Total confusion