Elections 2010 Ivi uraisi wa jk unakoma lini?

Njowepo

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
9,710
2,226
Katiba ya Tz mparaganyiko wa hali ya juu.
Kama JK bado ni raisi wa Tz mpaka leo then akishinda anaapishwa kwa ajili ya nini wakati bado hajautema huo uraisi.
Na sasa JK anatambulika kama nani?
Shein ni raisi wa Zanzibar kuanzia leo does that mean bado ni makamu wa raisi bse bado hajautema rasmi.
Total confusion
 
Back
Top Bottom