oldonyo .................. lengaiNdugu zangu leo nimekaa nikawaza ivi ikitokea uko kitaa ukasikia mtu anaitwa funzadume mawazo yako yataenda wapi?ID gani nyingine zinazofuraisha humu Kwenye forum ambazo ukiwa unasoma post zao uwa unacheka?
funzadume mawazo yananipeleka kwenye ngono zembe.
mi nam-mind sana MRBOSS japo anabadilika badilika.
Huyu jamaa kwenye mambo yetu ya kukaa kama tulivyozaliwa anajitahidi sana
oldonyo .................. lengai