Dr.philosophy
Senior Member
- Oct 12, 2012
- 122
- 27
Jana TCU wametoa multiple selection ambayo walitakiwa watoe tangu tarehe 22 kwa mujibu wa ratiba yao.lakini cha kushangaza vyuo vingi haviachia wale waliochqguliwa chuo kimoja jana hiyo hyoTCU wametangaza raundi ya tatu ambayo yenyew mwisho wakw ni tarehe 26.sasa najiuliza hivi Hawa jamaa kwann hawapo serious namambo ya msingi kama taaluma.sasa kuna watu watakosa vyuo na hakutakuw na nafasi ya kuapply tena daah hii nchi ya kipuuzi sana asee sijui timerogwa na nan