Ivi mtoto ambaye baba yake kafugwa kwa kosa kutiwa mimba mamaye akiwa mwanafunzi ivi huwa ana urithi kwa baba yake huyo

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Kuna utata umetokea hapa mtaani kwangu kuna jamaa inasadikika ameshafariki akiwa gerezani ambapo huyu jamaa alifugwa miaka 30 kwa kumtia mimba mwanzafunzi miaka mingi iliyopita....

Sasa inavyosemekana jamaa ameshafariki akiwa gerezani na yule binti aliyembebesha mimba tiyali alishajifungua na mtoto na mtoto ameshakuwa saivi ana miaka kama 15 yaani ameshakuwa mkubwa......

Sasa utata unakuja upande wa familia ya binti wanataka katika Mali za marehemu huyu kijana apewe fungu lake kama mtoto wa marehemu na tukirudi nyuma zaidi ikumbukwe ya kwamba familia hii hii ya binti ndio ilimfungulia mashataka mshikaji kesi ya mtoto wao kupewa mimba na huyu mshikaji hatimaye mshikaji alifugwaaa

Na ikumbukwe ya kwamba licha ya kujitetea mahakamani mimba sio yake jamaa alifugwa sasa twende mbele turudi nyuma twende kisheria

Haya sasa turudi katika hoja ya msingi je
Mtoto huyu anaruhusiwa kurithi kwa maana baba yupo gerezani na haijulikana kama yuu haii au mzimaa licha ya tetesi ameshafariki

Je mtoto huyu anaruhusiwa kurithi au kuhoji Mali za baba yakeeeee
 
Kuna utata umetokea hapa mtaani kwangu kuna jamaa inasadikika ameshafariki akiwa gerezani ambapo huyu jamaa alifugwa miaka 30 kwa kumtia mimba mwanzafunzi miaka mingi iliyopita....

Sasa inavyosemekana jamaa ameshafariki akiwa gerezani na yule binti aliyembebesha mimba tiyali alishajifungua na mtoto na mtoto ameshakuwa saivi ana miaka kama 15 yaani ameshakuwa mkubwa......

Sasa utata unakuja upande wa familia ya binti wanataka katika Mali za marehemu huyu kijana apewe fungu lake kama mtoto wa marehemu na tukirudi nyuma zaidi ikumbukwe ya kwamba familia hii hii ya binti ndio ilimfungulia mashataka mshikaji kesi ya mtoto wao kupewa mimba na huyu mshikaji hatimaye mshikaji alifugwaaa

Na ikumbukwe ya kwamba licha ya kujitetea mahakamani mimba sio yake jamaa alifugwa sasa twende mbele turudi nyuma twende kisheria

Haya sasa turudi katika hoja ya msingi je
Mtoto huyu anaruhusiwa kurithi kwa maana baba yupo gerezani na haijulikana kama yuu haii au mzimaa licha ya tetesi ameshafariki

Je mtoto huyu anaruhusiwa kurithi au kuhoji Mali za baba yakeeeee
Mali za mfungwa hugawiwa kwa Watoto wote wa ndani na wa nje ya ndoa.Tena huyo wa mwanafunzi anatakiwa alipwe zaidi sababu baba Yake hakugharimia matunzo.
 
Kwanj akifungwa ubaba ndio unakuwa umebadilika. Mpaka kafungwa ina maana yeye ndiye aliyekutwa na makosa so mimba ni yake.
Mtoto ana haki kwenye urithi.
 
Mali za mfungwa hugawiwa kwa Watoto wote wa ndani na wa nje ya ndoa.Tena huyo wa mwanafunzi anatakiwa alipwe zaidi sababu baba Yake hakugharimia matunzo.
Sasa shida inakuja familia yake ndo imemfunga sasa inakuwaje alipwee katika matunzo wakati kafugwa
 
Sasa shida inakuja familia yake ndo imemfunga sasa inakuwaje alipwee katika matunzo wakati kafugwa
Hizo Mali alizonazo zilitakiwa zitumike kumtunza au angegawiwa kabisa wakati baba Yake anaenda jela.Kama Ni nyumba ya kupangisha nk alitakiwa kupewa mgao kila mwezi
 
Wawe na uhakika sio kuleta uchuro,
kisheria nahisi mtoto ana haki,
hata kimtaani inabd utoe urith, hasa ukizingatia malezi ya watokako na waendako, hii ni kwa huruma na wajibu kwa mtoto na mama(maana naamin yote kuanzia kutiwa ndani na kulazmisha urith ni uchochezi wa ndugu na sio wao sio wao kama kweli ni mwanangu)
kinyume na hapo bora huo urith nimpe bwana jera.
 
Hakuna mahakama inajua yeye ndie baba wa mtoto .Mali lazima apewe sio hiari
Utata unakujaa mshitakiwa mahakamani alikanaa mimba sio yake kasingiziwa na alikuwa yupo tayali apimwe DNA mtoto akizaliwa ,
 
Aliyemfunga marehemu sio wazazi wala binti. Hiyo familia na mama wa mtoto walikuwa ni mashahidi tu kwenye kesi hiyo kwasababu kumpa ujauzito mwanafunzi ni kosa ambalo adhabu yake inafahamika.

Mirathi hugawanywa kwa wanufaika wakuu wote. Wanufaika wakuu huwa ni mke/ mume, watoto na wazazi kama mtoto amekufa akiwa hajaoa au hana watoto.

Hivyo huyo mtoto anahaki ya kurithi labda kama itathibitika kuwa sio mtoto halali wa marehemu.
 
Mzee hakuacha wosia? Nani alikua msimamizi wa mali mpaka wakati huu? Ina maana mpaka leo familia haimtambui mtoto huyo? Kama ndio wapime DNA kwanza. Kama ni mtoto wake apewe kadri itakavyompasa....
Otherwise arithi kwa aliyemlea....
 
Hao wanaodai urithi ni mafaler.

Huwezi kunifunga jela afu uje kudai urithi kwangu.

Uyo mtoto alisababisha naenda jela, tayar ni mkosi kwny familia.

Akarithi huko huko Kwa wanaozijua sheria.
 
Mhh hiyo sheria ya miaka 30 ishafikisha miaka 15 kweli, au hii chai kama chai zingine.
 
Mim asithubutu jela nikae alaf Mali zangu akodoe macho hakika atapigwa kuanzia mzaz wa huyo mjazwa mimba had yule anaetoa ushaur wa familia hiyo na hata jiran atakaejipendekeza ntavujisha dam. Vimbelembele vyao ndo yamewafika. Hakika nitawachakaza Sana.
 
Mim asithubutu jela nikae alaf Mali zangu akodoe macho hakika atapigwa kuanzia mzaz wa huyo mjazwa mimba had yule anaetoa ushaur wa familia hiyo na hata jiran atakaejipendekeza ntavujisha dam. Vimbelembele vyao ndo yamewafika. Hakika nitawachakaza Sana.
Hahahaaaa
 
Mali za mfungwa hugawiwa kwa Watoto wote wa ndani na wa nje ya ndoa.Tena huyo wa mwanafunzi anatakiwa alipwe zaidi sababu baba Yake hakugharimia matunzo.
Hizi sheria za mwafrika zinastaajabisha sana. Huyo baba atamhudumiaje mtoto wakati yupo gerezani hafanyi kazi? Hata ndugu zangu nawaambia huyo mtoto usimpe hata sindano ya kushonea nguo. Hizi sheria bora ziangaliwe upya, zifanyiwe marekebisho.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom