Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Poleni na msiba wa mandela wakuu,ebwana kwa kautafiti kangu kadogo nilikokafanya,nimegundua ya kwamba wadada wengi wanaomaliza vyuo vikuu hasa ngazi ya degree,huwa wanaishia kuolewa na wanaume ambao ni wanajeshi au mapolisi..swali ni kwamba,zile couple tunazozionaga huku vyuoni huwa zinaishia wapi mpaka ipelekee wakaolewe na hao masoldiers?