Ivi kuna madhara gani kwa wanao nyonya uchi wa mwanamke /mwanaume

Ulichosema ni sahihi 100% mkuu, haishauriwi kitaalam kunyonya uke kutokana na uwepo wa millions of bacteria & other microorganisms ambao miongon mwao wanaweza wepo wenye madhara kiafya, hii inatokana na wanawake wengi kutokuwa waaminifu pia magonjwa mwengi ya zinaa kwa wanawake huwa hayaoneshi dalili mapema hivyo unaweza kuona hakuna tatizo ama harufu mbaya mwanzon ukajua hana shida ila baadae ukakupata ugonjwa
Hata kunyonya uume haishauriwi pia sababu wanaume walio wengi si waaminifu.
 
Madhara hupatikana endapo mmoja kati wanaoshiriki tendo hilo atakuwa na maambukizi ya magonjwa ya ngono kama kaswende, gono, fungus, na aina kathalika za bakteria.
Ila kama wote mpo salama hamna shida mara nyingi inashauriwa kutofanya hivyo mana wengi wetu sio waaminifu hivyo si madhara tu kwa kunyonya but hata kufanya ngono isiyo salama ni hatari kwa afya yako.

Imepenyaa iyoo mkuu
 
Pia kuna heshima gani kufanya machukizo haya??? Lord have mercy on us!
 
Hata kunyonya uume haishauriwi pia sababu wanaume walio wengi si waaminifu.
Mkuu tumekuelewa maana siku hz mambo ya haki sawa BUT anatomy ya mwanamke na mwanaume ni tofauti sana, after sex every thing zinabaki kwenye vagina mwanaume habaki na kitu hata ufanyaji wa usafi kwa mwanaume ni almost 100% anatoa kila kitu ila kwa mwanamke products zote zinabaki ndan hata akifanya usafi hawez kutoa kila kitu kwa 100% thus why hata risk ya kupata STIs/HIV ni kubwa kwa KE kuliko ME. Nimekueleza kitaalam si kwamba naunga mkono mambo ya ORAL SEX
 
Back
Top Bottom