Othmorine
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 715
- 784
Kila kukicha nimekuwa nikisikia matangazo ya dawa za kurefusha(kuongeza) uume.Lakini mbona sijawahi kusikia hizo za upande wa pili(za kuongeza papuchi)?
Je,hii ni haki kweli?
Usawa uko wapi hapa?
Mbona hatuwatendei haki hawa dada zetu?
Utarefushaje uume huku ukiuacha uuke katika hali ile ile?!!
Huu si uonevu jamani?!!!
Ivi wanawake hamlioni hili au mmeridhika tu na ninyi?!!
Kwanini msiandamane kupinga uonevu huu???
Naomba kuwasilisha.
Je,hii ni haki kweli?
Usawa uko wapi hapa?
Mbona hatuwatendei haki hawa dada zetu?
Utarefushaje uume huku ukiuacha uuke katika hali ile ile?!!
Huu si uonevu jamani?!!!
Ivi wanawake hamlioni hili au mmeridhika tu na ninyi?!!
Kwanini msiandamane kupinga uonevu huu???
Naomba kuwasilisha.