Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Jamani,sisi tuliochaguliwa udsm,pale kwenye matokeo ya form 4 kuna herufi tumeandikiwa ambazo hatujui ni za nin,hzi herufi zko kama ifuatavyo,A,B,C,D,E,F,G,H,J,K,L,M,O,P,R..naomba mnijuze maana kuna wengne wanasema ndio grade ya loan hyo wengne wanasema sio.kwa anaejua hzo herufi zna maana gani anijuze!natanguliza shukrani.