johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,607
- 141,429
Ni ushauri kwa bunge, wabunge na Spika mpya Dr Tulia Ackson.
Jaribuni kuishauri serikali ili mipango ya kiuchumi ihamishiwe wizara ya Viwanda na Biashara kisha ateuliwe mbunge nguli wa Uchumi, Biashara na Masoko kuendesha wizara.
TRA irudishwe Hazina kwani lengo la Sanare na Kezilahabi wakati wanaiasisi ilikuwa isimamie Mapato yote ya serikali na siyo ya kodi tu kama ilivyo sasa. Lengo hili limeshindikana na badala yake vitengo vya Forodha na kile cha Kodi za Ndani ziko kama idara za Hazina kama awali.
Ikumbukwe kutoza ushuru ni suala la kikarani hivyo lirejeshwe Hazina kama idara na mambo ya sera yatasimamiwa na Kurugenzi ya Hazina.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Jaribuni kuishauri serikali ili mipango ya kiuchumi ihamishiwe wizara ya Viwanda na Biashara kisha ateuliwe mbunge nguli wa Uchumi, Biashara na Masoko kuendesha wizara.
TRA irudishwe Hazina kwani lengo la Sanare na Kezilahabi wakati wanaiasisi ilikuwa isimamie Mapato yote ya serikali na siyo ya kodi tu kama ilivyo sasa. Lengo hili limeshindikana na badala yake vitengo vya Forodha na kile cha Kodi za Ndani ziko kama idara za Hazina kama awali.
Ikumbukwe kutoza ushuru ni suala la kikarani hivyo lirejeshwe Hazina kama idara na mambo ya sera yatasimamiwa na Kurugenzi ya Hazina.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!