ITV yaanika kila kitu na ushahidi wa kutosha kuhusu mauaji ya mwandishi huko Iringa

Majibu karibu yote utayapata baada ya tume kufanya uchunguzi, vuta subira. Lakini kumbuka kuwa matukio yote yamefanyiwa uchunguzi lakini watanzania wanatabia ya kusahau haraka sana, hata hili tukio litasahaulika pamoja na kwamba uchunguzi utaisha na maelezo yote yatakuwepo.

akili mchuzi,
haya ndo majibu ya maswali uliyoulizwa?
Unafikiri humu kuna vigilagila kama wewe.

Get a life and shove it up if you cant shut up.
 
Mkuu kauli zake huyu mwandishi ndio zinafahamika, huyu ni mwanachama mtiifu wa CDM na hilo linafahamika. Kwa hiyo uandishi ilikuwa just cover tu.

Mkuu nasikia kule kwenu wameanza kuwagegedua back? Wewe ni ka-tumb..f kabisa!
 
Kuna watu wanailaumu sana CDM hapa. Jamani CDM ina kosa gani? Hao polisi wanatumwa na CDM kufanya haya wanayoyafanya? Mimi si mwana CDM lakini naona nchi inaelekea kwenye vita kali. Hatupo tayari kusikia na kukubali ukweli wa damu hizi zinazomwaga hivi.

Watanzania tuugane kwa pamoja bila kujali chama na kuyakataa mauwaji haya. Hii nchi sii ya CCM wala CDM. Tanzania ni yetu wote. Kwamba tunauwawa kinyama hivi sii sawa.

Hili jeshi letu linaonyesha kuwa na upungufu mkubwa kuanzia kwenye rushwa, kuonea wananchi na kuwabandikia makesi, kuwanyanyasa watu, na kuwaua raia wasio na hatia.

Kama tuna serikali ya kweli ijitokeze na kusahihisha mambo. Isipofanya hivyo CDM ina haki ya kuendelea kuwahamasisha watanzania kupigania haki zao. Uhai ni haki ya kila mmoja wetu aliopewa na Mungu. Polisi hampi mtu uhai, hivyo hana haki ya kutoa uhai.

Tuungane tupiganie uhai wetu. Mungu mrehemu na kumlaza pema ndugu yetu Daudi Mwangosi na marehemu wote, apumzike kwa amani Amina

well spoken, unaungwa mkono
 
Mfa maji haachi kutapatapa ccm wanadhani kwa staili hii ndo watazima M4C? Ila Mungu anawaumbua hadharani na kweupe sana. Waandishi wa habari ndo muda wa kuitetea damu ya mwenzenu na watanzania wote tupambane bila kurudi nyuma. Watatuambia nn sasa juu ya hiki kifo? Same sh*t everyday. Damn this system.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Majibu karibu yote utayapata baada ya tume kufanya uchunguzi, vuta subira. Lakini kumbuka kuwa matukio yote yamefanyiwa uchunguzi lakini watanzania wanatabia ya kusahau haraka sana, hata hili tukio litasahaulika pamoja na kwamba uchunguzi utaisha na maelezo yote yatakuwepo.

Watz mnaonywa kuwa mna tabia za kusahau haraka sana!
 
Hata hivyo waandishi wa habari wametangaza kusususia shughui zote za polisi kuanzia ile NENDA KWA USALAMA.

Ili kupata impact ya kutosha susieni shughuli zote za wizara ya mambo ya ndani (kama mlivyomfanya Mapuri enzi zile) au hata za serekali nzima.
 
Nchi inaelekea pabaya.

mkuu si kwamba tunaelekea kubaya,bali hapa tulipo tayari ni pabaya,udhalimu, mauaji ya kudhamiria na manyanyaso ya raia wasio na hatia yanayo ongozwa na vyombo vya serikali ni kielelezo tosha ,nchi yoyote ambayo inajali na kufuata utawala wa sheria basi hapa polisi ndio watuhumiwa wa kwanza,kwa namna yoyote ile haya mauwaji hayawezi kuwa- justified
 
Nashindwa kuelewa majadiliano yote haya ya nini. Na vilevile nashindwa kuelewa Tume imeundwa ya kazi gani..??Nashikwa na hasira ninapoona waandishi wanashindwa kuwa na umoja wa kweli,eti kususia habari za Polisi,inasaidia nini wakati mmoja wenu keshatangulia.

Ushahidi upo wazi, na upo katika picha ya tukio lote, na aliyetenda tukio hilo sura yake inajionyesha wazi kabisa.Nyie mnaojiita waandishi kwa nini msiwapeleke mahakamani wahusika moja kwa moja badala ya kusubiri tume.

Hata kama hamna pesa ya kumlipa mwanasheria nyinyi ndio wanablog wakubwa,fungueni akaunti maalum kwa shughuli hiyo na nina imani wengi wetu tutawachangia ili mtimize lengo la kuwafikisha mahakamani wote waliohusika na tukio hili na sio kukaa na kulaani tu.

Mnailaani mijitu ambayo imeshalaaniwa toka kwenye matumbo ya mama zao laana yenu itasaidia nini.PELEKA MAHAKAMANI WAKAJIFUNZE..
 
Nimetonywa eti polisi wanataka kuwashughulikia hao waandishi wa habari
 
Waandishi wa habari wanaendekeza njaa, ndio maana wanatumika kisiasa. Wasipo ripoti habari za polisi watakufa njaa.
 
Paka mweusi, hapa tatizo ni system! Mahakama ya sasa ipo chini ya serikali hiyo hiyo yenye laana kuu!
 
Hongera sana ITV nashauri 2015 baada ya Chadema kuchukua nchi kituo hiki kiwe ndiyo Television ya taifa and then kuifungia milele Tbc na wote wlioajiliwa Tbc wasiruhusiwe kuajiriwa sehemu yeyote Tanzania

Mkuu walioajiliwa TBC hawana la kufanya ila ndio matkwa ya mabosi wao tu ndio wanashindwa kutoa habari za ukweli wapo wasiopenda hali ya uongozi uliopo wanaogopa yasije kuwakuta kama yaliyompata Tido Mhando yyani no mkataba mwingine... wa kulaumu ni Mkuu wetu Dhaifu
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom