ITV Washindwa Kuliandika kwa Usahihi Jina la Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi

Na wewe kwenye title unamaanisha nini ukisema 'Yume'?

Wacha kulaumu bila sababu,kukosea kila mtu anakosea.
mbona wewe umeandika YUME badala ya Tume,kama wao wamekosea kwenye kuzungumza,wewe umekosea kwenye kuandika,nyie wote ni kitu kimoja

kile kipind kilirekodiwa hvyo kinarushwa kama kilivyorushwa mwanzo. Pia hzo ni typing error tu kama wewe ulivyoandika YUME badala ya TUME.

hahahahahaaaaaa!!!!
Mwenywewe kilaza kama vila wengine tu!!

Wewe mwenyewe umeshindwa kuliandika neno TUME!UMEANDIKA YUME!!

kukosea kitu cha kawaida. Mbona wewe mwenyewe umekosea heading?.

Ukitufafanulia kwanza hiyo YUME YA UCHAGUZI ndio kitu gani then nitarudi kuchangia.

Ukiishi kwenye nyumba ya vioo usianzishe vita vya mawe

Liondoe kwanza boriti lililo katika jicho lako kabla ya kuona boriti lililo ktk jicho la mwenzio,
anyway hana umuhimu wowote huyo kitaifa,

Tume=Yume? Umelianzisha mwenyewe limalize mwenyewe!! Mimi simo.

Tangu nimeweka hii hoja jana saa hizi ndo naingia jamvini na kukuta lundo la lawama. Imenilazimu kusoma kichwa cha habari cha hoja yangu kama mara tatu hivi sijaona hilo neno YUME lilipo. WanajF au kuna mtu amehariri kwa lengo la kurekebisha na kunisaidia kuepusha mashambulizi au ni kwamba hao waliochangia wanamakengeza?.
 
nahisi umetumwa akikosewa jina lake ana umuhimu gani kwako na kwa watanzania r u normal?? sorry whr r u first may be we ar talking with our colleague frm mirembe by the way we luv u all

ha ha haaa!
 
Tangu nimeweka hii hoja jana saa hizi ndo naingia jamvini na kukuta lundo la lawama. Imenilazimu kusoma kichwa cha habari cha hoja yangu kama mara tatu hivi sijaona hilo neno YUME lilipo. WanajF au kuna mtu amehariri kwa lengo la kurekebisha na kunisaidia kuepusha mashambulizi au ni kwamba hao waliochangia wanamakengeza?.
Ni kweli tuna makengeza, ndio maana hatukuweza kugunduwa kuwa Damian Lubuva Hajawahi kuwa jaji mkuu kama wewe unavyojaribu kuudanganya umma, bali ni Jaji mstaafu tu. nenda ka edit tena na kipengere hicho.
 
Na wewe kwenye title unamaanisha nini ukisema 'Yume'?

Wacha kulaumu bila sababu,kukosea kila mtu anakosea.
mbona wewe umeandika YUME badala ya Tume,kama wao wamekosea kwenye kuzungumza,wewe umekosea kwenye kuandika,nyie wote ni kitu kimoja

kile kipind kilirekodiwa hvyo kinarushwa kama kilivyorushwa mwanzo. Pia hzo ni typing error tu kama wewe ulivyoandika YUME badala ya TUME.

hahahahahaaaaaa!!!!
Mwenywewe kilaza kama vila wengine tu!!

Wewe mwenyewe umeshindwa kuliandika neno TUME!UMEANDIKA YUME!!

kukosea kitu cha kawaida. Mbona wewe mwenyewe umekosea heading?.

Ukitufafanulia kwanza hiyo YUME YA UCHAGUZI ndio kitu gani then nitarudi kuchangia.

Ukiishi kwenye nyumba ya vioo usianzishe vita vya mawe

Liondoe kwanza boriti lililo katika jicho lako kabla ya kuona boriti lililo ktk jicho la mwenzio,
anyway hana umuhimu wowote huyo kitaifa,

Tume=Yume? Umelianzisha mwenyewe limalize mwenyewe!! Mimi simo.

Ni kweli tuna makengeza, ndio maana hatukuweza kugunduwa kuwa Damian Lubuva Hajawahi kuwa jaji mkuu kama wewe unavyojaribu kuudanganya umma, bali ni Jaji mstaafu tu. nenda ka edit tena na kipengere hicho.


Nashukuru umekiri kuwa na makengeza, ila kwa taarifa yako sijaedit hata ukitaka uhakika kwa Moderator ninachoweza kukiri ni kuwa Damian Lubuva hajawahi kuwa Jaji Mkuu bali Mwanasheria Mkuu hilo ndo nililokosea. Hata hivyo mantiki ya msingi ambayo niliiweka kwenye hoja yangu ni kwamba kipindi kama kile kina watu ambao wanahariri kabla ya kurushwa na kwamba inapofika mwisho wa kipindi tunaonyeshwa majina yao kila mmoja na orodha yake kuonyesha msisitizo kwamba hawa ni watu ambao wako kwenye tasnia. Kosa kama hili linatofauti gani na la Daktari kusahau mkasi kwenye tumbo la mgojwa baada ya kumfanyia upasuaji na kumshona. Kwa upande wangu mimi nachat kwa hiyo makosa ya uandishi ninayoyafanya huwezi kuyalinganisha na anayoyafanya mwandhishi wa habari.
 
nahisi umetumwa akikosewa jina lake ana umuhimu gani kwako na kwa watanzania r u normal?? sorry whr r u first may be we ar talking with our colleague frm mirembe by the way we luv u all

Vidole hivyo kaka/dada, mdomo huo; walioko Mirembe hawajachagua kuwa huko, mto hujauvuka huu na wala kufa hujafa kijana usijisifu kuumbika usije ukawa ndo unaomba hivyo kwenda huko Mirembe. Heri mimi sijasema, kazi ni kwako na shauri yako.
 
amehariri!

Mzee/Kijana JF ni jukwaa makini sana kila unapohariripost yako huwa inaweka kumbukumbu hebu onyesha kwenye post yangu wapi kuna kumbkukumbu za kuhariri au tumwombe Admin atoe suluhisho. Tatizo siku hizi JF imeingiliwa na vidudu mutu (nimeandika mutu makusudikale usije ukasema nimekosea) vingi kiasi kwamba inachefua hata kuweka hoja kwani badala ya kujadili hoja vyenyewe hurukia kwenye matusi. Shame on you
 
kwani yeye ana umuhimu gani kwa nchi hii? si wa kuteuliwa huyo?

Suala la umuhimu wake kwa nchi hii hiyo ni hoja nyingine ambayo wewe ungeweza kuiweka hapa. Suala la uteule ndo ambalo tunataka kuliondoa kama tutashirikiana kwenye mchakato wa katiba mpya, lakini kwa sasa ndo ameshateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi tupende tusipende ndo katiba yetu inavyosema bila kujali kuwa atazeekea au kufia hapo. Uhai ni jukumu la Mola pekee kwa hiyo usifikiri sana juu ya kuzeeka. Nimehariri
 
Mzee/Kijana JF ni jukwaa makini sana kila unapohariripost yako huwa inaweka kumbukumbu hebu onyesha kwenye post yangu wapi kuna kumbkukumbu za kuhariri au tumwombe Admin atoe suluhisho. Tatizo siku hizi JF imeingiliwa na vidudu mutu (nimeandika mutu makusudikale usije ukasema nimekosea) vingi kiasi kwamba inachefua hata kuweka hoja kwani badala ya kujadili hoja vyenyewe hurukia kwenye matusi. Shame on you
Unajidhalilisha na kujicholesha hapa jukwaani bure, wewe kama ujaedit washukuru mods kwa kufanya jukumu hilo, na sio kweli kama ukiedit kitu ni lazima yale maandishi ya Last edited lazima yatokee, sio kweli hata kidogo. Original post yako uliandika YUME YA UCHAGUZI na sio TUME YA UCHAGUZI, na ndio sababu leo ukageuka kituko na burudani tosha kabisa kwa kumkosoa mwenzako kwa tatizo la spelling halafu na wewe ukarudia kosa lile lile!!
 
Unajidhalilisha na kujicholesha hapa jukwaani bure, wewe kama ujaedit washukuru mods kwa kufanya jukumu hilo, na sio kweli kama ukiedit kitu ni lazima yale maandishi ya Last edited lazima yatokee, sio kweli hata kidogo. Original post yako uliandika YUME YA UCHAGUZI na sio TUME YA UCHAGUZI, na ndio sababu leo ukageuka kituko na burudani tosha kabisa kwa kumkosoa mwenzako kwa tatizo la spelling halafu na wewe ukarudia kosa lile lile!!

Uko biiize kama mama wa kiswahili kwa umbea.

Next time ni KUJICHORESHA. Haya na wewe edit. Kumbe ndio maana ulikuwa mkali niliposema juu ya waandishi wasiojua kiswahili. Haya endelea KUJICHOLESHA
 
Ni kweli tuna makengeza, ndio maana hatukuweza kugunduwa kuwa Damian Lubuva Hajawahi kuwa jaji mkuu kama wewe unavyojaribu kuudanganya umma, bali ni Jaji mstaafu tu. nenda ka edit tena na kipengere hicho.

Vihiyo wa lugha za mama zao lkn umbea mwiiiingi. KIPENGELE, period!
 
Ungekuwa na akili angalau kidogo usingekalia umbea hapa, ungeshaenda kununua kuku wa mbegu kwa kuwa uhakika wa pumba umepata. Nina shaka na jinsia yako
Haya yote hayataondowa ukweli kwamba, hakuna YUME YA UCHAGUZI na wala Damian Lubuva hajawahi kuwa Jaji Mkuu.
 
Vihiyo wa lugha za mama zao lkn umbea mwiiiingi. KIPENGELE, period!
Waswahili wana msemo husemao nyani halioni kundule, wewe ulijifanya Mahiri wa Lugha wakati unajuwa kabisa hili sio jukwaa la Lugha, sasa inakuwaje tena wewe huyo huyo uandike YUME YA UCHAGUZI? NA je ni lini Damian Lubuva aliwahi kuwa Jaji mkuu wa Tanzania?
 
Waswahili wana msemo husemao nyani halioni kundule, wewe ulijifanya Mahiri wa Lugha wakati unajuwa kabisa hili sio jukwaa la Lugha, sasa inakuwaje tena wewe huyo huyo uandike YUME YA UCHAGUZI? NA je ni lini Damian Lubuva aliwahi kuwa Jaji mkuu wa Tanzania?
Haya yote hayataondowa ukweli kwamba, hakuna YUME YA UCHAGUZI na wala Damian Lubuva hajawahi kuwa Jaji Mkuu.

Biiize kwa umbea! Mpaka unatoka mapovu hata umepoteza mwelekeo hujui unamjibu nani. Mimi siye nilieanzisha mada hii tuliza akili ndugu yangu. Suala la YUME YA UCHAGUZI nalo haliondoi ukweli kuwa ITV walichemka. Na hata yale niliyoyasema mimi ukayaita pumba tupu nayo hayaondolewi na Kiswahili chako kibovu.

Waulize walimu wa shule za awali watakuthibitishia juu ya hili: Lugha ni kipimo cha kwanza cha kujua uwezo wa ubongo wa mtoto na kwa asili ya binadamu, uwezo wa kujifunza lugha ni mkubwa ktk umri mdogo zaidi ya umri mkubwa. Hapa namaanisha kuwa akili yako inaweza kupimwa kwa namna yako ya matumizi ya lugha. Sasa kama ulizaliwa Tanzania na kukulia hapa na bado hujui kiswahili kiasi cha kusema KIPENGERE, KUJICHOLESHA n.k huoni kwamba uwezo wako wa kufanya mambo kwa usahihi ni mdogo?!!

Na hilo pia linadhihirika kwa jinsi unavyokurupuka, hata hujui hapa unamjibu nani. Angalia hii kwa makini nataka nikuoneshe muendelezo wa ujinga wako:

Waswahili wana msemo husemao nyani halioni kundule, wewe ulijifanya Mahiri wa Lugha wakati unajuwa kabisa hili sio jukwaa la Lugha, sasa inakuwaje tena wewe huyo huyo uandike YUME YA UCHAGUZI? NA je ni lini Damian Lubuva aliwahi kuwa Jaji mkuu wa Tanzania?
1. Usemao na sio HUSEMAO (red)
2. Mimi sijifanyi mahiri, NI MAHIRI
3. Mimi simjui Lubuva in particular, kwa hiyo hata kama aliwahi kuwa askofu bado sijui (nikukumbushe aliyeyaandika haya ni muanzisha mada, SIO MIMI)
4. Usikimbie challenges kwenye maisha. Lugha haiongelewi kwenye jukwaa tu, hata hapa tunahitaji lugha ili tuweze kuwasiliana. Nguo yako ikikupasukia safarini hutanunua nyingine na kubadili kwa kuwa hiyo safari yako haikuwa ya kwenda kununua nguo?

Halafu nikusaidie mawazo ndugu yangu JF Premium Member, upo uwezekano aliyebadili YUME kuwa TUME ni MODS na muanzisha mada akawa kweli hajui alikosea. Mimi sioni sehemu ilipoandikwa last edited by muanzisha mada. Yawezekana ukawa unabisha mishipa ya koo imekusimama na mapovu yanakutoka lkn huyu jamaa akawa hajui unalilia nini. Jaribu kuwa mwenye tafakari kabla hujakurupuka na mineno. (Sina hakika kama ukishaweka thread unaweza ku-edit tittle)

Karibu katika ulimwengu wa Kiswahili, lugha tamu kwa wenye kuijua.
 
Biiize kwa umbea! Mpaka unatoka mapovu hata umepoteza mwelekeo hujui unamjibu nani. Mimi siye nilieanzisha mada hii tuliza akili ndugu yangu. Suala la YUME YA UCHAGUZI nalo haliondoi ukweli kuwa ITV walichemka. Na hata yale niliyoyasema mimi ukayaita pumba tupu nayo hayaondolewi na Kiswahili chako kibovu.

Waulize walimu wa shule za awali watakuthibitishia juu ya hili: Lugha ni kipimo cha kwanza cha kujua uwezo wa ubongo wa mtoto na kwa asili ya binadamu, uwezo wa kujifunza lugha ni mkubwa ktk umri mdogo zaidi ya umri mkubwa. Hapa namaanisha kuwa akili yako inaweza kupimwa kwa namna yako ya matumizi ya lugha. Sasa kama ulizaliwa Tanzania na kukulia hapa na bado hujui kiswahili kiasi cha kusema KIPENGERE, KUJICHOLESHA n.k huoni kwamba uwezo wako wa kufanya mambo kwa usahihi ni mdogo?!!

Na hilo pia linadhihirika kwa jinsi unavyokurupuka, hata hujui hapa unamjibu nani. Angalia hii kwa makini nataka nikuoneshe muendelezo wa ujinga wako:


1. Usemao na sio HUSEMAO (red)
2. Mimi sijifanyi mahiri, NI MAHIRI
3. Mimi simjui Lubuva in particular, kwa hiyo hata kama aliwahi kuwa askofu bado sijui (nikukumbushe aliyeyaandika haya ni muanzisha mada, SIO MIMI)
4. Usikimbie challenges kwenye maisha. Lugha haiongelewi kwenye jukwaa tu, hata hapa tunahitaji lugha ili tuweze kuwasiliana. Nguo yako ikikupasukia safarini hutanunua nyingine na kubadili kwa kuwa hiyo safari yako haikuwa ya kwenda kununua nguo?

Halafu nikusaidie mawazo ndugu yangu JF Premium Member, upo uwezekano aliyebadili YUME kuwa TUME ni MODS na muanzisha mada akawa kweli hajui alikosea. Mimi sioni sehemu ilipoandikwa last edited by muanzisha mada. Yawezekana ukawa unabisha mishipa ya koo imekusimama na mapovu yanakutoka lkn huyu jamaa akawa hajui unalilia nini. Jaribu kuwa mwenye tafakari kabla hujakurupuka na mineno. (Sina hakika kama ukishaweka thread unaweza ku-edit tittle)

Karibu katika ulimwengu wa Kiswahili, lugha tamu kwa wenye kuijua.

Pumba Express!!
 
Inashangaza chombo cha habari kikubwa kama ITV kinalikosea kuliandika jina la Mwenyeketi wa Tume ya Uchaguzi Jaji Mkuu Mstaafu Damiani Lubuva na kumwita Damian Luduva. Hili nimeliona katika kipindi cha matukio ya wiki ambacho kinaendelea hivi sasa. Kwa vile haya ni matukio ya wiki inamaana kipindi hiki kilirushwa siku za nyuma kati ya jumatatu haji jumamosi ya wiki hii, sina uhakika kama hawakugundua kosa hilo na hivyo kulifanyia masahihisho ama ni udhaifu wa utamkaji wa maneno alionao aliyeandika habari hiyo. Lakini Mhariri wa kipindi naye yuko wapi.
Ni mwenyekiti sio Mwenyeketi...lol, unakandia kandia tu kumbe na wewe kilaza
 
MODS tafadhal funga huu mjadala naamini ujumbe niliotaka kuutoa umefika ila naona kuna watu wanataka kutoana ngeu za hisia. Asante
 
Back
Top Bottom