DICTATOR MKUU!
Source ni IPP Media
ni mbaya sn kuwaweka roho juu wapiganaji wenzako,wakati unajua kbsa kuwa Regia ni member wa hii forum, na hivyo hbr zake zina msisimko wa aina yake.
Sikonge vipi mbona hatuamini kushinda tena wazee, inamaana tumesha kata tamaa kiasi hiki.
SOURCE ni IPP Media Mkuu.
ni mbaya sn kuwaweka roho juu wapiganaji wenzako,wakati unajua kbsa kuwa Regia ni member wa hii forum, na hivyo hbr zake zina msisimko wa aina yake.
Juzi tulikumwagia sifa tele Dr, vipi matusi ya nini sasa hapa.
:smile-big: we hujajua tu! Hapajamvini ni burudani tupu. ndio maana panatakiwa watu wanaofikiri kwa kina la si hivyo mtu aweza pelekwa pelekwa na wapelekeshaji, akajua kule aendako ndiko na kumbe siko. Mapenzi hayana kificho, UKWELI NA UHAKIKA pia DEMOKRASIA IANZIE HAPA:smile-big:kura za upande mmoja maana yake nini mkuu? Toa data kamili ili tuone mkuu.
Mwanakiji... i am full of tearsKati ya ushindi wote wa chadema huu ni mtamu zaidi. Im really proud of her and respect her for her tenacity and incredible resilience. You Go girl!
huyo nasikia anarudi sisiemu kuwania nomineeInawezekana kauli ya Dr Slaa imewashtua na kuamua kutangaza matokeo ya ukweli. I am very sory for Mr Mpendazoe
CHADEMA KUPITIA REGIA MTEMA WAMECHUKUA JIMBO LA KIROMBELO.
Kura 38,550
Hongera sana Mtoto G.S
SOURCE:-
IPP MEDIA, ITV