ITV wacheni

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Yaani mnakuwa kama watu wa ajabu inakuwaje kuwaje mnaiungisha ITV na CNN au BBC ,naona huu ni uzezeta na kijidhalilisha ,mbona wao huko hawaiunganishi ITV na BBC au CNN nina wasiwasi hata hawajui kama kuna station inaitwa ITV ,sioni sababu kama ni kwa watanzania basi wengi wanazo hizo station majumbani na kwa walio vijijini hata hawaelewi kunazungumzwa nini ndani ya BBC na CNN ,yaani kama kuungisha basi mungeliweza kuonyesha Discovery Chanel wakatuonyesha natural za mambo mbali mbali ambayo huenda kwa kuangalia tu wangeweza hata kufungua akili. AU mngetuwekea Jerry Springerz !!!:thinking:
 
Watu wengi wanazo hizo station za discover channel na jerry springer majumbani kwao, na wa vijijini hawana Tv.

Subject Topic yako mods waki ielewa tu, unapigwa BAN.
 
Watu wengi wanazo hizo station za discover channel na jerry springer majumbani kwao, na wa vijijini hawana Tv.

Subject Topic yako mods waki ielewa tu, unapigwa BAN.

Nyie mbona mnatutisha na BAN..sasa kuna siku na huyo MOD si tutampiga BAN bana..
 
mie Napendekeza kwa MODS kuanzia sasa wanaojiunga Jamii Forums wawe wanafanyiwa japo Usaili kidogo kujua IQ zao.
How Do we define Great Thinkers and still some people here comes with Rubbish Threads like this one
 
Watu wengi wanazo hizo station za discover channel na jerry springer majumbani kwao, na wa vijijini hawana Tv.

Subject Topic yako mods waki ielewa tu, unapigwa BAN.

Hivi uliondoka lini hapa Tz Jerry springer sijawahi kuiona katika free channel za hapa Tz ,hizo discovery kweli zipo ,,wekaa kando yote hayo mi najivunia changu ,ITV nasema ni TV yangu au ni kutoka nchini kwangu hivyo sioni sababu ya wao kuonyesha TV za wingine ,lipi kubwa la ajabu au tuseme hao ITV hawana ufundi na watu wanaoweza kutafasiri habari na kuchukua au kuunganisha picha zinazotokea kwenye channel zingine ?

Watu wangefurahia sana na wangekuwa afueni ya kupitwa na lugha za kigeni watuekee za kichina angalau tutaweza kufahamiana na hawa wamachinga wa kichina.
 
ni TV zoote nchini zinaonesha programs za mabwana zao. wanasema wameingia ubia.
nadhani ni ufinyu wa vitendea kazi na uhaba wa fikra ndo maana wanafanya yote hayo.
 
mie Napendekeza kwa MODS kuanzia sasa wanaojiunga Jamii Forums wawe wanafanyiwa japo Usaili kidogo kujua IQ zao.
How Do we define Great Thinkers and still some people here comes with Rubbish Threads like this one

MODs naye washamchakachua huyu
 
mie Napendekeza kwa MODS kuanzia sasa wanaojiunga Jamii Forums wawe wanafanyiwa japo Usaili kidogo kujua IQ zao.
How Do we define Great Thinkers and still some people here comes with Rubbish Threads like this one

I dont thinks MODS can listen to wavuta bangi yaani unaweka avatar ya bangi ,umekusudia nini kama si kuwapoteza watoto na wazazi wao,
 
ni TV zoote nchini zinaonesha programs za mabwana zao. wanasema wameingia ubia.
nadhani ni ufinyu wa vitendea kazi na uhaba wa fikra ndo maana wanafanya yote hayo.
Ahsante kwa kuniofahamu ,kuna vijitu humu JF mtu akiandika tu,wanamkimbilia MODS eti afute ,aondoe ,tatizo vijitu hivi vinaonyesha vina asli ya kutawaliwa haviwezi kuona umuhimi wa kujitosheleza bila ya kuhitaji misaada ,mi nashangaa sana watu hawa.
 
ni TV zoote nchini zinaonesha programs za mabwana zao. wanasema wameingia ubia.
nadhani ni ufinyu wa vitendea kazi na uhaba wa fikra ndo maana wanafanya yote hayo.

Msanii heshima mbele mkuu.

Nafahamu unajua kuwa kutengeneza programu za televisheni ni gharama sana, na mbaya zaidi TV zote za bongo na BURE tv, wanakolect revenuu kwenye TVC pekee, hii inakuwa mtihani sana kamanda.
 
Ahsante kwa kuniofahamu ,kuna vijitu humu JF mtu akiandika tu,wanamkimbilia MODS eti afute ,aondoe ,tatizo vijitu hivi vinaonyesha vina asli ya kutawaliwa haviwezi kuona umuhimi wa kujitosheleza bila ya kuhitaji misaada ,mi nashangaa sana watu hawa.
Babu tuliza jazba wakati wa kuchapa unakosea sana spelling halafu post inapoteza mvuto. Kiswahili lugha...ya Taifa mkumbuke hivyo punguza typo.
 
Yaani mnakuwa kama watu wa ajabu inakuwaje kuwaje mnaiungisha ITV na CNN au BBC ,naona huu ni uzezeta na kijidhalilisha ,mbona wao huko hawaiunganishi ITV na BBC au CNN nina wasiwasi hata hawajui kama kuna station inaitwa ITV ,sioni sababu kama ni kwa watanzania basi wengi wanazo hizo station majumbani na kwa walio vijijini hata hawaelewi kunazungumzwa nini ndani ya BBC na CNN ,yaani kama kuungisha basi mungeliweza kuonyesha Discovery Chanel wakatuonyesha natural za mambo mbali mbali ambayo huenda kwa kuangalia tu wangeweza hata kufungua akili. AU mngetuwekea Jerry Springerz !!!:thinking:

Wewe ndugu TV yenyewe unaangalizia nyumba jirani tena dirishani, kelele za nini kwenye bihashara za watu.
 
sasa shomoro wapi nimekosea sana spelling au back to school huenda ukawa hujui kusoma...au kusema vijitu imekuchengua kidogo?we mtu wa wapi kwani???????:A S angry::A S angry::A S angry:
Babu tuliza jazba wakati wa kuchapa unakosea sana spelling halafu post inapoteza mvuto. Kiswahili lugha...ya Taifa mkumbuke hivyo punguza typo.
 
Yaani mnakuwa kama watu wa ajabu inakuwaje kuwaje mnaiungisha ITV na CNN au BBC ,naona huu ni uzezeta na kijidhalilisha ,mbona wao huko hawaiunganishi ITV na BBC au CNN nina wasiwasi hata hawajui kama kuna station inaitwa ITV ,sioni sababu kama ni kwa watanzania basi wengi wanazo hizo station majumbani na kwa walio vijijini hata hawaelewi kunazungumzwa nini ndani ya BBC na CNN ,yaani kama kuungisha basi mungeliweza kuonyesha Discovery Chanel wakatuonyesha natural za mambo mbali mbali ambayo huenda kwa kuangalia tu wangeweza hata kufungua akili. AU mngetuwekea Jerry Springerz !!!:thinking:

Ritatizo riko parepare. Hiro rikingereza watarierewa.???

Yukanti teli zhem to shoo diskavari chaneli insitedi,disikavari chaneli izi ini Inglishi tuu. Teli zemu tu transileti iti ini kiswahili fo everi bodi tuandastendi.

Hiii hii oza pipo saa?!!
 
Ritatizo riko parepare. Hiro rikingereza watarierewa.???

Yukanti teli zhem to shoo diskavari chaneli insitedi,disikavari chaneli izi ini Inglishi tuu. Teli zemu tu transileti iti ini kiswahili fo everi bodi tuandastendi.
Hiii hii oza pipo saa?!!

ITV inao watu wa kuchukua kideo au reporter ,sasa hawa wanashindwaje kuandaa documentary filamu za wanyama hapa Tz na badala yake wanategemea wa Discovery Channel ,wako mabwanapori waliobobea ndani ya mbuga zetu za Taifa ,tunaweza kuandaa filamu na sisi ndio tukawauzia hao wengine .
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom