Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Siku chache zilizopita member mmoja wa jf alileta mada kwamba picha iliyotumika kwenye vyombo vingi vya habari kuonesha meli ya MV spice islander haikuwa ya kweli, hata aliweka site ambayo picha hiyo ilipatikana ikiwa ni ya meli iliyozama huko asia, sikumbuki ni wapi. Kinachonishangaza ni kuwa mpaka leo asubuhi nimeona picha hiyohiyo ikitumika na ITV kwenye tangazo la kuhammasisha misaada kwa wahanga.
What does this mean?
What does this mean?