KennedyMmari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2012
- 979
- 183
Mwenyektii wa jukwaa la wahariri Absalom Kibanda amerejea nchini baada ya matibabu ya muda mrefu nchini Afrikakusini huku akiomba polisi kueleza ukweli wa yaliyotokea na kuchukua hatua kwa yeyote aliyehusika kwenye unyama aliotendewa.
Source:ITV Tanzania Facebook Page
.
Swali:Kuna ukweli Gani Polisi wameuficha kuhusu kutekwa na kuteswa kwa Kibanda??
Source:ITV Tanzania Facebook Page
.
Swali:Kuna ukweli Gani Polisi wameuficha kuhusu kutekwa na kuteswa kwa Kibanda??
Mwenyekiti wa jukwaa la wahariri na mhariri mtendaji wa new habari absalom kibanda amerejea leo nchini na kulakiwa na watanzania wapenda amani na maendeleo. Wanachi wengi sana walijitokeza huku wengine wakitokwa na machozi ya huruma huku wakiwa hawaamini kumuona tena kibanda akiwa na siha njema namna ile.
Kibanda amewashukuru watanzania kwa dua zao wakati wote tangu apatwe na masibu yale na ameahidi kuelezea mkasa mzima jinsi ulivyokuwa na kutoa leads ya ni nani hasa wahusika wa utesaji dhidi yake...
pole sana kibanda na karibu nyumbani...mungu azidi kukujaala afya njema uendelee kulijenga taifa lako...damu yako haijamwagika bure.