Ndugu hela haina thamani zaidi ya macho yako, usiombe hilo mshukuru mungu.Natumaini naye atatafutiwa fungu la kutosha ili atulie, nchi hii inaweza kukufanyia unyama na kukutajirisha at the same time. Hiyo bahati wengine haituangukii. Tusubiri hayo mabomu hata ikiwa kwa karne nyingi, tutaendelea kusubiri mpaka tuwajue watesaji.
unawaaminia USA na UK to the extent wakikuposa unawakubalia. ni wakoloni tuu waleAtasema tu maana mwenzake Uli amekula kitu cha kuziba mdomo yeye hawezi kukubali maana amepata ulemavu!inasikitishaa sana!jipange na kulipua bomu!hata ikibidi akiwa uhamishoni ubalozi usa au uk akaombe hifadhi!maana wale wanajua kila kitu hata waliohusika wanawajua!wanajua fitna zaidi ya tiss wetu !wanajua ukweli woote
Peleka ushahidi polisi kwa mujibu wa sheria ya mwenendo wa jinai [the criminal procedure act]... sio unapayuka tu. una uhakika JK anahusika??? are you sure? Leta ushahidi wako hapa jamvini au peleka polisi hq.
pole kibanda
pole dr ulimboka
pole daudi mwangosi
pole dr mwakyembe
pole prof mwandosya
poleni wanyakyusa
poleni wana mbeya
poleni waTANGANYIKA
Peleka ushahidi polisi kwa mujibu wa sheria ya mwenendo wa jinai [the criminal procedure act]... sio unapayuka tu. una uhakika JK anahusika??? are you sure? Leta ushahidi wako hapa jamvini au peleka polisi hq.
peleka ushahidi polisi kwa mujibu wa sheria ya mwenendo wa jinai [the criminal procedure act]... Sio unapayuka tu. Una uhakika jk anahusika??? Are you sure? Leta ushahidi wako hapa jamvini au peleka polisi hq.
Watu wengine hua najiulizaga kama mpo Tanzania hi hi au nje ya nchi? Lakini kama mpo Tanzania hi hi, may be mnayo macho lakini hayaoni na au mnayo masikio lakini nayo hayasikii au labda yanasikia lakini may be ule Ubongo unaotafsiri kile unacho kisikia na kukiona hautaki kuushughulisha, vinginevyo labda na wewe ni mtu wa system! Hi comment yako imekuonesha hivyo. Sheria na Tanzania wapi na wapi bwn.
hata mi naona anataka kutuchezea akili tu,kama alikua anajua setup yote kwanini asiepuke?au kaupata ufunuo wa watesi wake akiwa hospitalini sozafrika?Kama yeye hawezi kujisemea anadhan polis watamsemea? Naona mbwembwe tu za kutafuta mlango wa kunegotiate na watesi wake!. Angekuwa muwazi tu kwa kutangaza bei yake aitakayo wampatie ili awasitiri au kinyume chake!
Mwenyektii wa jukwaa la wahariri Absalom Kibanda amerejea nchini baada ya matibabu ya muda mrefu nchini Afrikakusini huku akiomba polisi kueleza ukweli wa yaliyotokea na kuchukua hatua kwa yeyote aliyehusika kwenye unyama aliotendewa.
Source:ITV Tanzania Facebook Page
.
Swali:Kuna ukweli Gani Polisi wameuficha kuhusu kutekwa na kuteswa kwa Kibanda??
nilimsikia anasema kwanini ktk hii miaka nane ambayo jk amekaa madarakani kumekuwa na matukio mengi ya ukatili kwa waandishi wa habari? anasema hawezi kusubiri asemewe kama wengine hivyo atalipua bomu soon. sisi yetu macho na masikio
Mwenyekiti wa jukwaa la wahariri na mhariri mtendaji wa new habari absalom kibanda amerejea leo nchini na kulakiwa na watanzania wapenda amani na maendeleo. Wanachi wengi sana walijitokeza huku wengine wakitokwa na machozi ya huruma huku wakiwa hawaamini kumuona tena kibanda akiwa na siha njema namna ile.
Kibanda amewashukuru watanzania kwa dua zao wakati wote tangu apatwe na masibu yale na ameahidi kuelezea mkasa mzima jinsi ulivyokuwa na kutoa leads ya ni nani hasa wahusika wa utesaji dhidi yake...
pole sana kibanda na karibu nyumbani...mungu azidi kukujaala afya njema uendelee kulijenga taifa lako...damu yako haijamwagika bure.
Watu wengine hua najiulizaga kama mpo Tanzania hi hi au nje ya nchi? Lakini kama mpo Tanzania hi hi, may be mnayo macho lakini hayaoni na au mnayo masikio lakini nayo hayasikii au labda yanasikia lakini may be ule Ubongo unaotafsiri kile unacho kisikia na kukiona hautaki kuushughulisha, vinginevyo labda na wewe ni mtu wa system! Hi comment yako imekuonesha hivyo. Sheria na Tanzania wapi na wapi bwn.
tulia mliberaliiiiiiiiiiiiiiiiiiii..............punguza mapovu, usiwe na papara hata kama unawashwa au umeshika ukuta.
1. Unaikumbuka ya mwakyembe??.... Ushahidi haukufika kwa dci manumba?? Haukuandikwa magazetini hata kabla ya yeye kudhurika?? Nini kilitokea??kuna mtu amefungwa hata kufunguliwa mashtaka??
2. Kwa akili zako unazani yule chizi wa kova ndiye anaweza kumteka na kupiga ulimboka pekeyake kwenye gari huku akiliendesha hilo gari...labda kama yule chizi anamikono 10 kama jini, lakini unafahamu watu aliokuwa anawasiliano kumbukumbuku zipo katika mitandao ya simu na line zao zimesajiliwa umesikia aliyekamatwa.... Nini kinaendelea???
3. Unakumbuka story ya kolimba?? Ni nani amewahi kukamatwa mpaka leo?? Umesahau ya marehemu imrani kombe???
4. Unafahamu muendelezo wa kesi wa yule prof mwaikusa wa ud, wa kuvamiwa na kuuwa jirani na nyumbani kwake?? Unajua nini kinaendelea....
Kwa kuwa wewe ni mliberali na adui yako ni chadema.... Basi sema yooote hayo niliyoyataja kwa uchache ni chadema ndio wanahusika tena dr. Slaa ndio kafanya hivyo......
Pole sana mzee wa haki sawa kwa wote kachukue buku 7 lumumba.