Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
ITV hamuwatendei wananchi haki kwa kuzuia matokeo ya Urais ambayo yanatangazwa pamona na yale ya wabunge. Tangazeni matokeo hayo yanavyokuja kutoka majimboni. Kwanza ni kwa sababu mtawasaidia wananchi kujua nini kinaendelea na mtaondoa wasiwasi na vile vile mtasaidia kupunguza watu kufikiria Tume inachakachua.
Sasa kama nyinyi ndiyo vyombo vya habari na mnapata matokeo halali kutoka majimbo kwanini msiyatangaze huku mnayajumlisha tuone kama yanalingana na yale yanayotangazwa na tume?
You must be independent enough, mbona wenzenu Mwananchi wanafanya hivyo?
Kama Kikwete kashinda matokeo yenu na ya tume hayawezi kupishana! so do the needful.
Sasa kama nyinyi ndiyo vyombo vya habari na mnapata matokeo halali kutoka majimbo kwanini msiyatangaze huku mnayajumlisha tuone kama yanalingana na yale yanayotangazwa na tume?
You must be independent enough, mbona wenzenu Mwananchi wanafanya hivyo?
Kama Kikwete kashinda matokeo yenu na ya tume hayawezi kupishana! so do the needful.