Anzisha channel yako ndo uwe unaweka hivyo uvitakavyoMbona taarifa ya habari huwa mnaboa kwanini huwa hamnaga taarifa za kimataifa.
Umemjibu vizuri kabisa.Anzisha channel yako ndo uwe unaweka hivyo uvitakavyo
U super brand wao ulisha expire. Hata habari za East Africa sisikiagi Burundi na South SudanMbona taarifa ya habari huwa mnaboa kwanini huwa hamnaga taarifa za kimataifa.
Hongera mkuu,My wife wangu huwa analalamika sipendi kuangalia taarifa za habari huwa Sina jibu la kumpa lakini kiukweli niliboreka kitambo
HaaaaaaHongera mkuu,
mkeo ana akili,wake za wengine ni tamthiliya full time
hawajui hata maana ya taarifa ya habari
Hata hawaoni aibu kujisifia.Super brand!
Nashauri angalia channel mbadara itakayo kidhi mahitaji yako!.ITV ipo too local!
Hats takwimu za kipima joto hawasomi.
Bora waondoe Hotuba ya Baba wa Taiga, na kusoma Habari za Kimataifa.
Sioni sababu za kutuletea habari za A. Mashariki na DRC Congo kwa kina kila siku.