Acha umbeaUfoo tangu mme wake ajitwange risasi hua namuangalia vibaya
Tuko hapa na RAINFRED MASAKO tumepiga zetu suspender
wasimtoe Neema Kindole maana nampenda kweli huyu binti wa moroZipo tetesi kuwa kituo cha ITV na Radio one kimesitisha mikataba ya watangazaji wake watatu kwa sababu ambazo bado hazijafahamika.
Waliotemwa wengine ni pamoja na waliokuwa watangazaji wa radio one,Neema Kindole na Julius Njole maarufu katika kipindi cha kumepambazuka cha asubuhii (wazee Wa kuhoji maswali mazito kwa viongozi)
Kitu nilichojifunza katika kituo hicho ni kutonyenyekea umaarufu Wa mtangazaji yeyote .
Dah!!!!Wakokutema njoo kwangu mama ufoo, uwe unanisomea taarifa mwenyewe , maana sauti yako unaposoma habari hasa za mahakamani ndio ilikuwa sababu yangu ya kuangalia ITV sasa sijui itakuwaje kama hii habari mbaya itakuwa ya kweli
Aminikwamba yule Dada so MTU mzur tutaskia mengii ubaya,haufichikiUfoo tangu mme wake ajitwange risasi hua namuangalia vibaya