Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
SHEREHE:Uongozi wa itv na Redio One na wafanyakazi wake leo wamewaaga waliokuwa wafanyakazi waITV/RadioOne ambao hivi sasa wameteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli kushika nyadhifa mbalimbali serikalini.
Waagwa hao ni Mkuu wa wilaya ya Handeni Bw. Godwin Gondwe, Kaimu mwandishi mwandamizi wa Rais Ikulu Bw. Emanuel Buhohela na mwandishi na Mpiga picha wa Ikulu bwana John Chacha.
Waagwa hao ni Mkuu wa wilaya ya Handeni Bw. Godwin Gondwe, Kaimu mwandishi mwandamizi wa Rais Ikulu Bw. Emanuel Buhohela na mwandishi na Mpiga picha wa Ikulu bwana John Chacha.