ITV NA HISTORIA YA MASHUJAA WETU.

radika

JF-Expert Member
Jul 15, 2014
20,427
32,196
kipindi hiki kimenivutia sana hapa ndipo nimepata kujua kwamba Nchi yetu ipo ktk historia ya kuwa ya kwanza kupigana na nchi nyingine kivita barani afrika.

pia ningependa kujua kama kiongozi wa majeshi wa kipindi hicho ndugu David msuguri yupo na ni kabila gani? Tanzania iliikalia kijeshi Uganda miezi saba ktk harakati za kumng'oa idd amin hii ina maana ya kwamba tuliweza kuitawala Uganda kwa muda huo, swali hivi mwalimu Nyerere angekuwa na tamaa angeweza kuiteka Uganda wataalamu hivi hilo swala lingeshindikana?


Pia kuna rais aliapishwa baada ya kufanikiwa kumtoa idd amin je na yeye alitolewa na nani? mana sijawah kumsikia katika mlolongo wa uongozi wa Uganda.

Tuwaenzi mashujaa wetu na kulipa heshima jeshi letu kwa kutekeleza maagizo ipasavyo hii histori itv nawaunga mkono imekaa vizuri.
 
kipindi hiki kimenivutia sana hapa ndipo nimepata kujua kwamba Nchi yetu ipo ktk historia ya kuwa ya kwanza kupigana na nchi nyingine kivita barani afrika.

pia ningependa kujua kama kiongozi wa majeshi wa kipindi hicho ndugu David msuguri yupo na ni kabila gani? Tanzania iliikalia kijeshi Uganda miezi saba ktk harakati za kumng'oa idd amin hii ina maana ya kwamba tuliweza kuitawala Uganda kwa muda huo, swali hivi mwalimu Nyerere angekuwa na tamaa angeweza kuiteka Uganda wataalamu hivi hilo swala lingeshindikana?


Pia kuna rais aliapishwa baada ya kufanikiwa kumtoa idd amin je na yeye alitolewa na nani? mana sijawah kumsikia katika mlolongo wa uongozi wa Uganda.

Tuwaenzi mashujaa wetu na kulipa heshima jeshi letu kwa kutekeleza maagizo ipasavyo hii histori itv nawaunga mkono imekaa vizuri.
Jumuia ya kimataifa ingeingilia kati kama Nyerere angeiteka Uganda, ilikuwa ni Jamhuri ya Uganda.
 
Pole dogo kwa kutojua historia ya East Afrika,zamani kuna somo lilikuwa linaitwa SIASA mambo mengi ya ufahamu wa kisiasa yalikuwa yanapatikana humo.Km sikosei Baada ya Idd Amini alifuata Yusuf Lule,Binaisa,Obote,hlf akaja mwanajeshi mmoja nimemsahau jina ndo akaingia baba wa majeshi Museveni mpk leo....
 
Pole dogo kwa kutojua historia ya East Afrika,zamani kuna somo lilikuwa linaitwa SIASA mambo mengi ya ufahamu wa kisiasa yalikuwa yanapatikana humo.Km sikosei Baada ya Idd Amini alifuata Yusuf Lule,Binaisa,Obote,hlf akaja mwanajeshi mmoja nimemsahau jina ndo akaingia baba wa majeshi Museveni mpk leo....


nashukuru mkuu kwa ufafanuz mzur
 
kipindi hiki kimenivutia sana hapa ndipo nimepata kujua kwamba Nchi yetu ipo ktk historia ya kuwa ya kwanza kupigana na nchi nyingine kivita barani afrika.

pia ningependa kujua kama kiongozi wa majeshi wa kipindi hicho ndugu David msuguri yupo na ni kabila gani? Tanzania iliikalia kijeshi Uganda miezi saba ktk harakati za kumng'oa idd amin hii ina maana ya kwamba tuliweza kuitawala Uganda kwa muda huo, swali hivi mwalimu Nyerere angekuwa na tamaa angeweza kuiteka Uganda wataalamu hivi hilo swala lingeshindikana?


Pia kuna rais aliapishwa baada ya kufanikiwa kumtoa idd amin je na yeye alitolewa na nani? mana sijawah kumsikia katika mlolongo wa uongozi wa Uganda.

Tuwaenzi mashujaa wetu na kulipa heshima jeshi letu kwa kutekeleza maagizo ipasavyo hii histori itv nawaunga mkono imekaa vizuri.
Naunga mkono hoja kuwa ITV imewatendea haki watanzania kwa kuonyesha historia hii ya vita ya Uganda ili Vijana ambao historia hii hawakuwa wakiifahamu wajue njia ambazo Taifa letu imepita..!BIG uP kwa jeshi letu!
 
Pole dogo kwa kutojua historia ya East Afrika,zamani kuna somo lilikuwa linaitwa SIASA mambo mengi ya ufahamu wa kisiasa yalikuwa yanapatikana humo.Km sikosei Baada ya Idd Amini alifuata Yusuf Lule,Binaisa,Obote,hlf akaja mwanajeshi mmoja nimemsahau jina ndo akaingia baba wa majeshi Museveni mpk leo....
Ojite ojok baada ya obote II regime
 
nashukuru mkuu kwa ufafanuz mzur
DIKTETA YOWERI KAGUTA MUSEVENI AKIWA KIONGOZI WA MAGAIDI WA NRA ALIMPINDUA JENERALI TITO OKELO MWAKA 1986 ALIAHIDI KUKAA MADARAKANI KWA MUDA MFUPI. CHA AJABU MPAKA LEO YUPO MADARAKANI
 
Nchi ilikuwa kwenye uzalendo wa hali juu sana, sasa hivi watu tumegawanyika tuna uzalendo na vyama vyetu baadala ya nchi.
Rekebisha hiyo Kauli Uzalendo haujaondoka kwa kuanzisha vyama vingi....Tatizo watawala na wapambe wake kuliibia Taifa kisha kuwaambia kwamba Nchi yetu ni maskini unatoka Povu jukwaani kudanganya umaskini wa Nchi wakati huo ww unatembelea Gari la 300ml...then unasisitiza uzalendo km sio dharau nini....
 
DIKTETA YOWERI KAGUTA MUSEVENI AKIWA KIONGOZI WA MAGAIDI WA NRA ALIMPINDUA JENERALI TITO OKELO MWAKA 1986 ALIAHIDI KUKAA MADARAKANI KWA MUDA MFUPI. CHA AJABU MPAKA LEO YUPO MADARAKANI

kumbe hawajamaa wanapinduana tu aliyepo madarakani nae bila shaka atapinduliwa tu
 
Back
Top Bottom