ITV mnachotufanyia kwenye Isidingo is not fair at all. Msitufanye tuanze kumkumbuka Mzee Reginald Mengi this soon!

mimi kwa sasa siangalii isidingo ITV toka nilipogundua isidingo inarushwa youtube sasa hivi nanenda nao sambamba na watu wa afrika kusini hii isidingo inayoonyweshwa na ITV iko nyuma sana na bado wanairudisha nyuma
 
Wanabodi,

Mimi ni mshabiki wa tamthilia za ITV Tangu imeanzishwa, walianza na "Egoli" Place of Gold, ndipo wakaja na "Isidingo" The Needy.

Kitu ambacho ITV imejijengea heshima kubwa, ni ile concistance yake, Isidingo ni saa 1:30 usiku. Kwa vile naipenda sana tamthilia ya Isidingo and I can't afford to miss it, kumenifanya niwe a very good father, kila saa 1:30 jioni lazima niko home, unless otherwise.

Ikitokea kwa sababu yoyote nimemiss episode ya jioni, kesho yake asubuhi saa 3:30 nitaangalia marudio nikiwa popote kupitia simu yangu kwa kutumia ile ITV online kwenye play store.

Kitu ambacho I never miss ni marudio ya wiki nzima, Jumamosi usiku kuanzia Saa 5:00 usiku, baada ya kumuangalia Zomboko na Hawavumi lakini Wamo.

Wiki hii nilikuwa busy hivyo sikuweza kuangalia Isidingo wiki nzima, hivyo jana jioni nikasubiri marudio ya wiki, hayakuwepo, bila hata scroll ya kuapologize.

Baada ya kukosa marudio ya jana
marudio mengine ya wiki ni Jumapili saa 4:00 asubuhi. Muda huo ni muda wangu wa kanisani huwa nasali misa ya pili. Lakini kutokana na jana kutokuwepo marudio ya wiki, leo ilinibidi nijihimu kuamka saa 11:00 alfajiri kusali misa ya kwanza saa12:00 asubuhi hadi saa 3:00 ili saa 4:00 niangalie marudio ya wiki,

Ilipofika saa 4:00 kuwasha ITV, duh...!. Isidingo haipo!. Kulikuwa sijui na likipindi gani, kwa vile nilipania Isidingo, hata wangeonyesha kipindi kizuri vipi, mimi bado ningeona ni likipindi tuu!.

Where is the ITV concistance?. Ukiwa fan wa tamthilia fulani, unakuwa na addiction, ukikosa unapata withdrawer symptoms ya hasira na kukasirika, ingekuwa sababu ni live program, huwa tunaelewa na tunavumia, lakini kuondoa Isidingo kuweka recorded program yoyote, sio kututendea haki sisi watazamaji wenu watiifu.

Wito kwa menejmenti ya ITV, tunaomba mtutendee haki sisi watazamaji wenu, kipindi fulani kwenye series kisipokuwepo kwa sababu yoyote, tujulisheni kwa scroll.
Hata kama alipokuwepo Mzee alikuwa hafanyi lolote kwenye programming na scheduling, hatukuzoea kuona mambo kama haya, sasa kwa vile Mzee Mengi hayupo, halafu, yanatokea mambo kama haya, msitufanye tukaanza kumkumbuka Mzee Mengi, kuwa haya sasa ndio yanatokea kwa vile Mzee hayupo!.

Japo baada ya hicho kipindi, Isidingo ilikuja kuonyeshwa, two episodes za mwanzo zilikuwa skipped, missing two episodes, is a big loss kwa mfuatiliaji wa haya makitu. Matatizo kama haya hakuna kabisa kwenye DSTV, kwa kutumia Explorer, unarekodi episodes zote na utaangalia at your own time, ITV hawana PVR, na kwenye DSTV hawapo, what a loss?.

Msitufanyie hivi.
P.
Hiyo inaitwa Uraibu
 
Wanabodi,

Mimi ni mshabiki wa tamthilia za ITV Tangu imeanzishwa, walianza na "Egoli" Place of Gold, ndipo wakaja na "Isidingo" The Needy.

Kitu ambacho ITV imejijengea heshima kubwa, ni ile concistance yake, Isidingo ni saa 1:30 usiku. Kwa vile naipenda sana tamthilia ya Isidingo and I can't afford to miss it, kumenifanya niwe a very good father, kila saa 1:30 jioni lazima niko home, unless otherwise.

Ikitokea kwa sababu yoyote nimemiss episode ya jioni, kesho yake asubuhi saa 3:30 nitaangalia marudio nikiwa popote kupitia simu yangu kwa kutumia ile ITV online kwenye play store.

Kitu ambacho I never miss ni marudio ya wiki nzima, Jumamosi usiku kuanzia Saa 5:00 usiku, baada ya kumuangalia Zomboko na Hawavumi lakini Wamo.

Wiki hii nilikuwa busy hivyo sikuweza kuangalia Isidingo wiki nzima, hivyo jana jioni nikasubiri marudio ya wiki, hayakuwepo, bila hata scroll ya kuapologize.

Baada ya kukosa marudio ya jana
marudio mengine ya wiki ni Jumapili saa 4:00 asubuhi. Muda huo ni muda wangu wa kanisani huwa nasali misa ya pili. Lakini kutokana na jana kutokuwepo marudio ya wiki, leo ilinibidi nijihimu kuamka saa 11:00 alfajiri kusali misa ya kwanza saa12:00 asubuhi hadi saa 3:00 ili saa 4:00 niangalie marudio ya wiki,

Ilipofika saa 4:00 kuwasha ITV, duh...!. Isidingo haipo!. Kulikuwa sijui na likipindi gani, kwa vile nilipania Isidingo, hata wangeonyesha kipindi kizuri vipi, mimi bado ningeona ni likipindi tuu!.

Where is the ITV concistance?. Ukiwa fan wa tamthilia fulani, unakuwa na addiction, ukikosa unapata withdrawer symptoms ya hasira na kukasirika, ingekuwa sababu ni live program, huwa tunaelewa na tunavumia, lakini kuondoa Isidingo kuweka recorded program yoyote, sio kututendea haki sisi watazamaji wenu watiifu.

Wito kwa menejmenti ya ITV, tunaomba mtutendee haki sisi watazamaji wenu, kipindi fulani kwenye series kisipokuwepo kwa sababu yoyote, tujulisheni kwa scroll.
Hata kama alipokuwepo Mzee alikuwa hafanyi lolote kwenye programming na scheduling, hatukuzoea kuona mambo kama haya, sasa kwa vile Mzee Mengi hayupo, halafu, yanatokea mambo kama haya, msitufanye tukaanza kumkumbuka Mzee Mengi, kuwa haya sasa ndio yanatokea kwa vile Mzee hayupo!.

Japo baada ya hicho kipindi, Isidingo ilikuja kuonyeshwa, two episodes za mwanzo zilikuwa skipped, missing two episodes, is a big loss kwa mfuatiliaji wa haya makitu. Matatizo kama haya hakuna kabisa kwenye DSTV, kwa kutumia Explorer, unarekodi episodes zote na utaangalia at your own time, ITV hawana PVR, na kwenye DSTV hawapo, what a loss?.

Msitufanyie hivi.
P.
kweli aisee - hawa jamaa wame lost sana siku hizi!

halafu ki-front-front chao cha kushobokea mambo ya ikulu huwa unakuta wanakatiza programs nyingine ambazo zina umuhimu kuliko wauza nyago wa huko wanakokimbilia.

jirekebisheni upesi nyie ITV!
 
Wanabodi,

Mimi ni mshabiki wa tamthilia za ITV Tangu imeanzishwa, walianza na "Egoli" Place of Gold, ndipo wakaja na "Isidingo" The Needy.

Kitu ambacho ITV imejijengea heshima kubwa, ni ile concistance yake, Isidingo ni saa 1:30 usiku. Kwa vile naipenda sana tamthilia ya Isidingo and I can't afford to miss it, kumenifanya niwe a very good father, kila saa 1:30 jioni lazima niko home, unless otherwise.

Ikitokea kwa sababu yoyote nimemiss episode ya jioni, kesho yake asubuhi saa 3:30 nitaangalia marudio nikiwa popote kupitia simu yangu kwa kutumia ile ITV online kwenye play store.

Kitu ambacho I never miss ni marudio ya wiki nzima, Jumamosi usiku kuanzia Saa 5:00 usiku, baada ya kumuangalia Zomboko na Hawavumi lakini Wamo.

Wiki hii nilikuwa busy hivyo sikuweza kuangalia Isidingo wiki nzima, hivyo jana jioni nikasubiri marudio ya wiki, hayakuwepo, bila hata scroll ya kuapologize.

Baada ya kukosa marudio ya jana
marudio mengine ya wiki ni Jumapili saa 4:00 asubuhi. Muda huo ni muda wangu wa kanisani huwa nasali misa ya pili. Lakini kutokana na jana kutokuwepo marudio ya wiki, leo ilinibidi nijihimu kuamka saa 11:00 alfajiri kusali misa ya kwanza saa12:00 asubuhi hadi saa 3:00 ili saa 4:00 niangalie marudio ya wiki,

Ilipofika saa 4:00 kuwasha ITV, duh...!. Isidingo haipo!. Kulikuwa sijui na likipindi gani, kwa vile nilipania Isidingo, hata wangeonyesha kipindi kizuri vipi, mimi bado ningeona ni likipindi tuu!.

Where is the ITV concistance?. Ukiwa fan wa tamthilia fulani, unakuwa na addiction, ukikosa unapata withdrawer symptoms ya hasira na kukasirika, ingekuwa sababu ni live program, huwa tunaelewa na tunavumia, lakini kuondoa Isidingo kuweka recorded program yoyote, sio kututendea haki sisi watazamaji wenu watiifu.

Wito kwa menejmenti ya ITV, tunaomba mtutendee haki sisi watazamaji wenu, kipindi fulani kwenye series kisipokuwepo kwa sababu yoyote, tujulisheni kwa scroll.
Hata kama alipokuwepo Mzee alikuwa hafanyi lolote kwenye programming na scheduling, hatukuzoea kuona mambo kama haya, sasa kwa vile Mzee Mengi hayupo, halafu, yanatokea mambo kama haya, msitufanye tukaanza kumkumbuka Mzee Mengi, kuwa haya sasa ndio yanatokea kwa vile Mzee hayupo!.

Japo baada ya hicho kipindi, Isidingo ilikuja kuonyeshwa, two episodes za mwanzo zilikuwa skipped, missing two episodes, is a big loss kwa mfuatiliaji wa haya makitu. Matatizo kama haya hakuna kabisa kwenye DSTV, kwa kutumia Explorer, unarekodi episodes zote na utaangalia at your own time, ITV hawana PVR, na kwenye DSTV hawapo, what a loss?.

Msitufanyie hivi.
P.
Nakushauri Paschal wewe ni mwanahabari mzuri sana tuongelee mambo muhimu tuachane na ivi vitu personal ata ukikataa sisi ni watoto wa kambo tumekatwa mikia
Membe voice
 
Nakushauri Paschal wewe ni mwanahabari mzuri sana tuongelee mambo muhimu tuachane na ivi vitu personal
Mimi ni all weather, sio kila kitu ni serious issues, life is living, taking it easy, having a goodtime and enjoyment its all life is all about, na sio serious stuff all the times.
P
 
Hii tamthiliya ni habari nyingine, umenikumbusha kipindi naifuatilia sana wakati Tema Sabopedi AKA Lerato anapambana na breast cancer kati mfululizo fulani, nilikua nimezama Deep sana kwa yule dada. Siku hizi mambo mengi kama hivyo ITV nao miyeyusho mingi.

Pongezi nyingi sana mkuu Paskali
 
Hii tamthiliya ni habari nyingine, umenikumbusha kipindi naifuatilia sana wakati Tema Sabopedi AKA Lerato anapambana na breast cancer kati mfululizo fulani, nilikua nimezama Deep sana kwa yule dada. Siku hizi mambo mengi kama hivyo ITV nao miyeyusho mingi.

Pongezi nyingi sana mkuu Paskali
Ilipoishia week hii. Benjamin amemtia hasara ya milions of Rand Mr Sibeko halafu ame resign kama CEO wa SG.
 
Media za bongo hovyo tu,sisi tumekatiwa mpira kimya kimya pamoja na watu kuwapigia simu bado hata hawajajishughulishi kutoa taarifa rasmi Ni mpaka uwapigie mwenyewe ilhali wana platforms kibao tu.WTF
 
Pascal Mayalla kwanin ujipe shida na kupangiwa ratiba? Kwanin usijipakulie mwenyewe kwa muda wako?

Isidingo tena ya ITV ipo nyuma sana, jiangalizie kwenye channel SABC 3, chagua episode uliyoishia, songa mbele.
 
Sijawahi kuipenda hii tamthilia hata kidogo

Binafsi nilikuwa mtumwa wa kujitakia wa tamthilia ya ''Days of our lives''...enzi izo inaonyeshwa CTN
 
Back
Top Bottom