hayaland
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 712
- 399
Itv ni moja ya kituo cha television kilichokuwa kizuri mno hasa kwenye eneo la taarifa ya habari hapa chini. Ulipokuwa unaikosa hiyo taarifa inakuuma sana moyoni.Ila kwa kipindi hiki kituo hiki kinaanza kufa kwani taarifa zao za zamani za kiuchunguzi haziko tena,Na mbadala wake imeibuka Kituo kimoja matata sana nayo ni Azam TV, ni moja ya kituo cha tv ambacho ukiangalia taarifa zake huna hamu ya kusoma magazeti ya kesho yake wanakuwa wamemaliza kazi.Taarifa zao zinasisimua hadi raha. Vituo vinavyoelekea kufa kifo cha mende ni Itv, na Channel 10 kwisha kabisa.