Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Habri ya makalio kweli kweli yaani CCM wanavyomtafuta wameshindwa mtia hatiani?Au ndio ulegulege wao?Au ndio upuuzi kichwanihadi hawana hata uwezo wa kubaini huo wizi?Si ukawape ushahidi wakupe ukuu wa wilaya.Wenzio wameishia tafuta hadi kumbambikiza mwane unga.Bado wakashindwa.Habari imepitwa na wakati sana.Huyo mengi ni mkwepa kodi mkubwa, na mtu anayewalipa wafanyakazi wake wazawa mshahara mdogo. Anaamini wahindi pekee. Nyambaaaafu