Ulitaka amsifie baba yako?Sorry, mods wasahihishe hapo. Ni Mkurugenzi, siyo Meya..
Ndiye haswa.
Mie ni intellectual ila dogo kunambi nimeanza kumuelewa. Nimeona ana vision nzuri.apewe muda.
du mkuu bado unacheki hizo mambo? hongera mie nlishaachagaUna mhemko usio wa lazima. Unalazimisha mambo bila takwimu. Kumsifia Raisi si hoja kwa sasa. Hoja zako haziendani.
Kunambi na akina Happi, Asenga na Katambi ni product za Malumbano ya hoja ndomana anajiona kama naye ni mwendesha kipindi!Una mhemko usio wa lazima. Unalazimisha mambo bila takwimu. Kumsifia Raisi si hoja kwa sasa. Hoja zako haziendani.
sahihi.. hata hapi anadhan kila akiongeacho ni sahihi patheticKunambi na akina Happi, Asenga na Katambi ni product za Malumbano ya hoja ndomana anajiona kama naye ni mwendesha kipindi!
alikuwa dept ya gegraphy UDSMMeya wa Dodoma ni profesa Mwamfupe.
Ndo mwisho wakufikiria kwako hapo?Imepooza malumbano ya hoja wapo watu tulio wazoea rais wa bao wakina msafiri na polisi aliyestaafu mbunge aliyekosa ubunge wapo wengi naomba wairudishe dar
Pr. Mwamfupe.Kunambi Godwin ni Mkurugenzi,Meya ni Mzee mmoja prof! Japo Uzi wako una matege!