Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
mashairi ya Shabani Robert hayoDr. Kitila kesama " No gain without pain!". " No sweet without sweat",
Watanzania tuendelee kulalamika kwa kujenga hoja.
Tuwaunge mkono watu wanaopigania maslahi yao.
Mafanikio yanapatikana kwa kufanya kazi kwa bidii. Hakuna njia ya mkato. Hata posho za wabunge ni njia ya mkato ya ujanja ujanja!.
Kipindi kimemalizika
Asanteni na kwaherini!.