ITV Kijiwe cha makanjanja

Johnsecond

JF-Expert Member
May 4, 2010
1,076
211
Wakati msomaji wa taarifa ya habari saa mbili usiku jana anasoma alisema hivi "Mengi amesema kuwa watanzania waige mfano wa rais kikwete katika kuchukia umaskini" wakati najiandaa kumuondoa Mengi kwenye list yangu ya watu ambao niliwaamini angalau kidogo, mengi akawekwa hewani hakusema kitu chochote wala kutaja jina la kikwete na aliongelea kitu tofauti kabisa. Hivi hili hawa ITV hamkuliona wakati mnaandaa taarifa ya habari??? Taarifa ya habari hata sisi ambao sio professionals wa habari tunaweza kuwafundisha, wasomaji wa taarifa ya habari huwa hawana mvuto, wamenuna, wanamawazo mengi mpaka wanakosea kosea. Waigeni TBC japo wanaripoti utumbo lakini wanatabasamu hata kidogo . . .
 
Wakati msomaji wa taarifa ya habari saa mbili usiku jana anasoma alisema hivi "Mengi amesema kuwa watanzania waige mfano wa rais kikwete katika kuchukia umaskini" wakati najiandaa kumuondoa Mengi kwenye list yangu ya watu ambao niliwaamini angalau kidogo, mengi akawekwa hewani hakusema kitu chochote wala kutaja jina la kikwete na aliongelea kitu tofauti kabisa. Hivi hili hawa ITV hamkuliona wakati mnaandaa taarifa ya habari??? Taarifa ya habari hata sisi ambao sio professionals wa habari tunaweza kuwafundisha, wasomaji wa taarifa ya habari huwa hawana mvuto, wamenuna, wanamawazo mengi mpaka wanakosea kosea. Waigeni TBC japo wanaripoti utumbo lakini wanatabasamu hata kidogo . . .
makosa ya kibinadamu yanatokea hata katika television nyingine.
It sound as if you have grudges with ITV!
 
pamoja na mapungufu kidogo yanayoweza kujitokeza,ila Itv inabaki kuwa kituo bora zaidi cha televisheni hapa tanzania.
 
makosa ya kibinadamu yanatokea hata katika television nyingine.
It sound as if you have grudges with ITV!

Sio jana tu mbona muda mrefu sana hawajirekebishi, wawajibishane kwa kuandikiana barua watakuwa serious na kazi. Wasiwe kama CCM wanaharibu. Thread ngapi umewahi kuziona humu jamvini kuhusu ITV mkubwa?
 
Are you working there? you are boring man !
I am not working there but I hate generalizing things on first instance!Kanjanja sounds nasty taking in consideration that there are highly qualified and people with integrity working with ITV.
By the way GOOD MORNING PAL!
 
Sio jana tu mbona muda mrefu sana hawajirekebishi, wawajibishane kwa kuandikiana barua watakuwa serious na kazi. Wasiwe kama CCM wanaharibu. Thread ngapi umewahi kuziona humu jamvini kuhusu ITV mkubwa?
angalia channel ten how many times picha zinakuwa tofauti na maelezo?
 
pamoja na mapungufu kidogo yanayoweza kujitokeza,ila Itv inabaki kuwa kituo bora zaidi cha televisheni hapa tanzania.

Superbrand, kitabaki kuwa kituo bora kwa sababu hakina challenge vingine vidhaifu na vipo kiitikadi sana. Ndo maana ukiweka mambumbumbu ukawapa mtihani yupo atakayekuwa wa kwanza
 
Sipendi kumchambua mengi sana na itv kwa ujumla wanamambo yao wanayoyajua wao.
 
angalia channel ten how many times picha zinakuwa tofauti na maelezo?

Huwa siangalii channel ten na TBC, ni vituo vya CCM vinadanganya sana, star tv nayo huwa inadanganya lakini sio kama hivyo viwili
 
I am not working there but I hate generalizing things on first instance!Kanjanja sounds nasty taking in consideration that there are highly qualified and people with integrity working with ITV.
By the way GOOD MORNING PAL!

Ukitaka kujua jamaa ni makanjanja angalia habari za michezo, inaweza ikawa mechi hiyohiyo wanatangaza matokeo na wanaonyesha wachezaji wanarukaruka tu hawana uwezo wa kuonyesha magoli, hawajali mtu akiangalia habari za michezo anataka kuona goli lilifungwaje
 
I am not working there but I hate generalizing things on first instance!Kanjanja sounds nasty taking in consideration that there are highly qualified and people with integrity working with ITV.
By the way GOOD MORNING PAL!

weewe ni zaidi ya JK una huruma sana, usingekuja kumwajibisha waziri hata mmoja maana ungesema kama pinda kuwa haya jamani waziri kayakuta na kaanza kazi juzi tu tumwache ale ale. "We need someone to be hold accountable for any ignorance, from there we can build a strong society" -
 
Tunataka mfukuzwe kazi wote kuna vijana wamemaliza shule wanaweza fanya kazi hiyo vizuri kabisa

kama kampuni ni ya bibi yako ndo atafukuza kazi watu
Acha kuwa mzigo wewe hujalazimishwa kuangalia ITV
Kaangalie TV asilia chumbani kwako
 
Wakati msomaji wa taarifa ya habari saa mbili usiku jana anasoma alisema hivi "Mengi amesema kuwa watanzania waige mfano wa rais kikwete katika kuchukia umaskini" wakati najiandaa kumuondoa Mengi kwenye list yangu ya watu ambao niliwaamini angalau kidogo, mengi akawekwa hewani hakusema kitu chochote wala kutaja jina la kikwete na aliongelea kitu tofauti kabisa. Hivi hili hawa ITV hamkuliona wakati mnaandaa taarifa ya habari??? Taarifa ya habari hata sisi ambao sio professionals wa habari tunaweza kuwafundisha, wasomaji wa taarifa ya habari huwa hawana mvuto, wamenuna, wanamawazo mengi mpaka wanakosea kosea. Waigeni TBC japo wanaripoti utumbo lakini wanatabasamu hata kidogo . . .
Mkuu Joniwapili, uandaa wa taarifa za habari wa Redio na TV ni professional ya watu inayofuata misingi yake.

Kwa kawaida habari huusisha "reportage" hii ni ripoti ya kilichozungumzwa na kujumuishwa na "actualities" yaani sauti halisi ya mzungumzaji akizungumza, hii inaitwa "insert".

Kwenye reportage, kwa kawaida wazungumzaji huzungumzia mambo mengi, mwandishi atayarekodi yote na kisha kuamua atoke na angle gani!. Akishaamua angle anaandaa kitu kinaitwa "catch line" kwenye gazeti ndio headline "Mengi Ampongeza Kikwete".

Hii catch line inafuatiwa na "intro" hii ni para ya kwanza inayozungumzia subject matter, ambayo itafuatiwa na para nyingine kukamilisha, the 5Ws + H, (Who, What, When, Where, Why+How).

Baada ya kukamilika hayo ndipo hufuatia "insert" ya sauti ya mzungumzaji. Kanuni ya insert sio lazima anazungumzie yele yale yaliyoelezwa kwenye intro, "insert" inaweza kuzuzungumzia jambo jingine lolote kwa lengo la kuishibisha ile habari!, hivyo ITV wako very right!.

Hilo la kusmile, inategemea "contents" kama ni za kupendeza, mtangazaji ata smile, kama ni very seriuus mtangazaji anakuwa serious na kama ni za kuhuzunisha mtangazaji atahuzunika!. Hii tuhuma
wasomaji wa taarifa ya habari huwa hawana mvuto, wamenuna, wanamawazo mengi mpaka wanakosea kosea
ni too general as if ndio wote!, inaweza kuwa "its one isolated incident" usiishambulie ITV kwa kosa la mtangazaji mmoja!

Makosa ya kibinaadamu kwa kawaida yako yanavumilika ili sio kwa kiwango cha kuwaita "makanjanja"!.

Uandishi ni fani ya watu, nakerwa sana na watu wanaowabeza wenzao kwa kuwaita "makanjanja" kila uchao, japo nakiri level ya wengi wa waandishi wetu iko chini ukilinganisha na majirani zetu, kwa sababu wenzetu wali invest kwenye elimu ya waandishi, sisi ndio tuna invest sasa!.

Msomaji, mtazamaji na msikilizaji ana haki ya kulaumu na kuelezea kero yake asipofurahishwa, ila kwenye kulaumu huku, pia muwatendee haki waandishi!. mfano lawama hizi, mleta mada hajui chochote, kazi kujifanya "much know!"
Huku sio kuwatendea haki ITV japo nao wana madudu yao ila sio haya!.

Pasco
 
Mkuu Joniwapili, uandaa wa taarifa za habari wa Redio na TV ni professional ya watu inayofuata misingi yake.

Kwa kawaida habari huusisha "reportage" hii ni ripoti ya kilichozungumzwa na kujumuishwa na "actualities" yaani sauti halisi ya mzungumzaji akizungumza, hii inaitwa "insert".

Kwenye reportage, kwa kawaida wazungumzaji huzungumzia mambo mengi, mwandishi atayarekodi yote na kisha kuamua atoke na angle gani!. Akishaamua angle anaandaa kitu kinaitwa "catch line" kwenye gazeti ndio headline "Mengi Ampongeza Kikwete".

Hii catch line inafuatiwa na "intro" hii ni para ya kwanza inayozungumzia subject matter, ambayo itafuatiwa na para nyingine kukamilisha, the 5Ws + H, (Who, What, When, Where, Why+How).

Baada ya kukamilika hayo ndipo hufuatia "insert" ya sauti ya mzungumzaji. Kanuni ya insert sio lazima anazungumzie yele yale yaliyoelezwa kwenye intro, "insert" inaweza kuzuzungumzia jambo jingine lolote kwa lengo la kuishibisha ile habari!, hivyo ITV wako very right!.

Hilo la kusmile, inategemea "contents" kama ni za kupendeza, mtangazaji ata smile, kama ni very seriuus mtangazaji anakuwa serious na kama ni za kuhuzunisha mtangazaji atahuzunika!. Hii tuhuma ni too general as if ndio wote!, inaweza kuwa "its one isolated incident" usiishambulie ITV kwa kosa la mtangazaji mmoja!

Makosa ya kibinaadamu kwa kawaida yako yanavumilika ili sio kwa kiwango cha kuwaita "makanjanja"!.

Uandishi ni fani ya watu, nakerwa sana na watu wanaowabeza wenzao kwa kuwaita "makanjanja" kila uchao, japo nakiri level ya wengi wa waandishi wetu iko chini ukilinganisha na majirani zetu, kwa sababu wenzetu wali invest kwenye elimu ya waandishi, sisi ndio tuna invest sasa!.

Msomaji, mtazamaji na msikilizaji ana haki ya kulaumu na kuelezea kero yake asipofurahishwa, ila kwenye kulaumu huku, pia muwatendee haki waandishi!. mfano lawama hizi, mleta mada hajui chochote, kazi kujifanya "much know!"
Huku sio kuwatendea haki ITV japo nao wana madudu yao ila sio haya!.

Pasco

Atakuwa mwigulu ncemba, TBC ina madudu mengi sana; ishawahi kusoma magazeti ya juzi yake badala kesho yake: na mwandishi haushtuka kabisa naye kaflow kama kawa::::: ITV superbrand number 1 nchini mwetu;;;; ina professionals wa ukweli si makanjanja au madj kama clouds,chan.10;tbc;
 
Back
Top Bottom