ITV!!!hivi ni kweli kuwa mazishi ya Regia sio habari?

inamaana TBC wenyewe walikuwa na miamvuri. Manake wamejitapa kuwa walikuwepo pamoja na kunyesha mvua kubwa.

TBC wametumia picha ya jana wakati waombelezaji na marehemu wakifika Ifakara, na sauti ya reporter kupitia simu. Hyo inadhihirisha ugumu uliokuwepo kufikisha picha kwenye vituo vya kurushia matangazo.
 
Wamechimbwa mkwara wasionyeshe, kwa vile wameona msiba huu ni kama publicity kwa cdm!? na ikizingatiwa watu walivyofurika 'and infact we don't have independent television. Shame on them'.

Acha urongo bana mkubwa, huo ni urongo. Ni urongo, urongo, urongo, urongo. Nani kawapiga mkwara? Urongo bwana! Tatizo ni Sir God kufungulia koki za mabomba yake na kuonyesha kuwa marehemu alikuwa na neema zake! Ila wewe umesema urongo!
 
hivi watu wakatishe matangazo yao waweke Breaking news tena sio ITV tu mpaka radio one,waoneshe Nyumbani kwa kina Regia,kanisani,Karimjee,halafu waweke mtimanyongo kuonesha mazishi?
Hata Tbc wameonesha lakini sio ya leo,we huoni itakuwa kuna tatizo?.
 
yani nimejihimu kusubiri taarifa ya habari ya saa mbili usiku nione mazishi ya regia, mpaka sasa hola, kwa kweli nawashangaa itv!!!!

Sasa chadema mmezidi kudeka na huu msiba alaa..kwanini mnataka kulazimisha kila mtu amlilie Regina?sisi tunaomjua tuendelee kumlilia na kwa kuwa regina ataenedelea kuishi mioyoni mwetu tutaenedelea kumlilia daima lakini tusilazimishe taifa zima liingie msibani na mwisho wa siku ni lazima maisha yaendelee pia kwa tunaoendelea kuishi.
 
Sasa chadema mmezidi kudeka na huu msiba alaa..kwanini mnataka kulazimisha kila mtu amlilie Regina?sisi tunaomjua tuendelee kumlilia na kwa kuwa regina ataenedelea kuishi mioyoni mwetu tutaenedelea kumlilia daima lakini tusilazimishe taifa zima liingie msibani na mwisho wa siku ni lazima maisha yaendelee pia kwa tunaoendelea kuishi.

Kweli mkuu, inabidi maisha yaendelee. Mbona Kawawa kafariki juzjuz n sasa kaishasahaurika.Kama publicity huu msiba umepata ya kutosha n raia wasitake kila media itangaze kila kitu khs msiba, vingine n vyombo vya habari binafsi wana uhuru wa kuchagua habari ya kurusha ingekuwa inalalamikiwa TBc ningeelewa manake ni kodi zt
 
Mkuu inaweza kuwa kweli maana sio ITV tu!

hilo saala ni la kiufundi sana siyo sawa na kuingia kwa jf.kunatatizo la kiufundi ambalo nafikili lipo nje ya uwezo wao.mbona matukio yote ya dar yalikwenda onair bila mizengwe?
 
yani nimejihimu kusubiri taarifa ya habari ya saa mbili usiku nione mazishi ya regia, mpaka sasa hola, kwa kweli nawashangaa itv!!!!
.........Regia.......Regia..........Regia ! kwani kafanya lipi Dunia hii ? wiki nzima hamna shughuli ni Regia tuuu ! Mbona ni "mtu" tuu ! acheni hizo, anakufa saa moja asubuhi saa nne mnazika ! Watu wamegeuza matangazo, kuuza sura, lawama, ugomvi, majungu, mko bize na maiti wiki nzima ? ! kwani mlikuwa hamjui kuwa kafa ?! :yawn:
 
.........Regia.......Regia..........Regia ! kwani kafanya lipi Dunia hii ? wiki nzima hamna shughuli ni Regia tuuu ! Mbona ni "mtu" tuu ! acheni hizo, anakufa saa moja asubuhi saa nne mnazika ! Watu wamegeuza matangazo, kuuza sura, lawama, ugomvi, majungu, mko bize na maiti wiki nzima ? ! kwani mlikuwa hamjui kuwa kafa ?! :yawn:
allah Akbar!!
lala salama regia!
 
.........Regia.......Regia..........Regia ! kwani kafanya lipi Dunia hii ? wiki nzima hamna shughuli ni Regia tuuu ! Mbona ni "mtu" tuu ! acheni hizo, anakufa saa moja asubuhi saa nne mnazika ! Watu wamegeuza matangazo, kuuza sura, lawama, ugomvi, majungu, mko bize na maiti wiki nzima ? ! kwani mlikuwa hamjui kuwa kafa ?! :yawn:

kura 10 na saruti ya heshima kwako mkuu.
 
nashauri wampe pacha wake although hatakuwa exactly kama Regia lakini itakuwa faraja kwetu
Kweli nyani haoni kundule ingekuwa ni RZ1 ungeshauri wampe? Au ndio ungekuwa wa kwanza kusema undugulization na mengi mengineyo maana mwanzo mlimshamblia mpaka kaamua akae kimya sasa leo unashauri kilekile ambacho ingekuwa kwa magamba ungesema mpaka povu likutoke mdomoni.

Toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndipo uone kibanzi kwenye jicho la mwenzako.

Tanzania hatuna mambo ya kifalme hayo ya kurisishana tuwaachie wafalme.
 
Tumemlilia sana,Basi sasa inatosha..tuendelee na mambo mengine,ila kuhusu mrithi wa Rejia chadema msitie aibu kama kipindi kile kwenye kura za maoni kuwapata wanawake watakaochukua viti maalum,this time hatutegemei watoto na wake wa vigogo ndani ya chadema eti ndio lazima wamrithi rejia,maana tumesikia "mke" wa kubwaa mmoja keshaanza kutajwa tajwa, nadhani angepewa mtu wa kawaida mtoto wa mkulima kama alivyokua marehemu,najua wapo wengi tu watoto wa wakulima ambao majina yao tayari yapo tume ya uchaguzi..!
 
Back
Top Bottom