ITV HABARI: Majaji Uganda waomba kutoingiliwa na serikali Museveni anahitaji miaka 7 mbadala ya 5

VAPS

JF-Expert Member
Jul 10, 2012
5,610
13,160
Watanzania wenzangu tunasomo zuri kujifunza toka Kampala
Naibu Jaji mkuu na Jaji mkuu wameomba Serikali kutowaingilia katika Majukumu yao kusimamia sheria na HAKI.
Hii Inatokea pakiwa na shauri la kupinga sheria ya kikatiba kuongeza muda wa kipindi cha uraisi Uganda toka miaka 5 hadi 7.
Rwanda tayari kipindi urais ni miaka 7. Tunakopi mengi toka Rwanda baadhi mazuri mfano single account ,akaunti moja ya serikali kuu.
Nashauri Majaji wetu waige ujasiri wa wenzao Uganda. Kusimamia na kutekeleza haki.

Cudos: ITV habari SAA 2 usiku
 
Watanzania wenzangu tunasomo zuri kujifunza toka Kampala
Naibu Jaji mkuu na Jaji mkuu wameomba Serikali kutowaingilia katika Majukumu yao kusimamia sheria na HAKI.
Hii Inatokea pakiwa na shauri la kupinga sheria ya kikatiba kuongeza muda wa kipindi cha uraisi Uganda toka miaka 5 hadi 7.
Rwanda tayari kipindi urais ni miaka 7. Tunakopi mengi toka Rwanda baadhi mazuri mfano single account ,akaunti moja ya serikali kuu.
Nashauri Majaji wetu waige ujasiri wa wenzao Uganda. Kusimamia na kutekeleza haki.
 
Watanzania wenzangu tunasomo zuri kujifunza toka Kampala
Naibu Jaji mkuu na Jaji mkuu wameomba Serikali kutowaingilia katika Majukumu yao kusimamia sheria na HAKI.
Hii Inatokea pakiwa na shauri la kupinga sheria ya kikatiba kuongeza muda wa kipindi cha uraisi Uganda toka miaka 5 hadi 7.
Rwanda tayari kipindi urais ni miaka 7. Tunakopi mengi toka Rwanda baadhi mazuri mfano single account ,akaunti moja ya serikali kuu.
Nashauri Majaji wetu waige ujasiri wa wenzao Uganda. Kusimamia na kutekeleza haki.
In Africa there is nothing like "independent Court of law".....Africa is the same though some countries are worse
 
Watanzania wenzangu tunasomo zuri kujifunza toka Kampala
Naibu Jaji mkuu na Jaji mkuu wameomba Serikali kutowaingilia katika Majukumu yao kusimamia sheria na HAKI.
Hii Inatokea pakiwa na shauri la kupinga sheria ya kikatiba kuongeza muda wa kipindi cha uraisi Uganda toka miaka 5 hadi 7.
Rwanda tayari kipindi urais ni miaka 7. Tunakopi mengi toka Rwanda baadhi mazuri mfano single account ,akaunti moja ya serikali kuu.
Nashauri Majaji wetu waige ujasiri wa wenzao Uganda. Kusimamia na kutekeleza haki.


Hakuna jaji mwenye uthubutu huo hapa Tz.
 
Na aliyemwacha huru Nondo,?, NYUMBU mlisema kila lililo jema kwa mahakama. Haki ikielekezwa upande Mwingine mnadai mnabinywa magolori. Nyambaff
Kanyama ka mbwaaaa nitakua nakuita tu hivyo maana huko kwa kichwa yako unakujua mwenyewe maana sio kwa kujitoa ufaham huko , kanyama ka mbwaaaaaaa
Itika basi
 
Na aliyemwacha huru Nondo,?, NYUMBU mlisema kila lililo jema kwa mahakama. Haki ikielekezwa upande Mwingine mnadai mnabinywa magolori. Nyambaff
yaani hawa nyumbu ni kelele tu wakisinda wao wanaona mahakama inatenda haki lakini wakishindwa wanaanza kulalama ooh!! mahakama haiko huru
 
Watanzania wenzangu tunasomo zuri kujifunza toka Kampala
Naibu Jaji mkuu na Jaji mkuu wameomba Serikali kutowaingilia katika Majukumu yao kusimamia sheria na HAKI.
Hii Inatokea pakiwa na shauri la kupinga sheria ya kikatiba kuongeza muda wa kipindi cha uraisi Uganda toka miaka 5 hadi 7.
Rwanda tayari kipindi urais ni miaka 7. Tunakopi mengi toka Rwanda baadhi mazuri mfano single account ,akaunti moja ya serikali kuu.
Nashauri Majaji wetu waige ujasiri wa wenzao Uganda. Kusimamia na kutekeleza haki.

Cudos: ITV habari SAA 2 usiku
Sasa unataka mahakama wafungue Kesi wenyewe ?
Ni kesi gani ya kikatiba imefunguliwa na watu wenye akili zao ikaacha kusikilizwa ?
Mahakama inasimamia sheria bila kuangalia mizuka ya watu.
Kama kuna mtu anaona kuna jambo la kupinga mahakamani alipeleke ili aone kama mahakama itashindwa kulishughulikia.

Mahakama zetu bado zipo imara na zinafuata sheria na kutafsiri sheria vizuri tu .
 
Back
Top Bottom