jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
nilikuwepo kipindi cha uchaguzi maeneo hayo jamaa wanahasira ile mbaya na hawamtambui mbunge wa ccm wao wanadai alishinda wa cuf, zilienda hadi 110 za PT
cuf ndio walewale, mpaka watie akili, wajue masuala ya dini yanawaumiza. awali waliogopa kujiunga na mashule wakiogopa kitimoto a.k.a nguruwe, wenzao wamepiga kitabu, walipokuja kushtuka kuvamia shule, wamepelekewa za kata!! labda lipumba akawachotee kwenye uprofessor, si alikuwa un juzi kati!