It's my pleasure to be here.

Nini kimekuvuta ukajiunga na jf

me huwa ni mtu wa kuperuzi google huwa na browse mara kwa mara kukusanya taarifa za vitu flani. kila nikisearch naona wenzangu walishaulza xwali kama hlo hapa jamii forums, nkataka kuijua zaidi nkaingia fb nka like page ikaniongoza kujisajili. now najua nkipata shida wapi pa kuipeleka.
 
me huwa ni mtu wa kuperuzi google huwa na browse mara kwa mara kukusanya taarifa za vitu flani. kila nikisearch naona wenzangu walishaulza xwali kama hlo hapa jamii forums, nkataka kuijua zaidi nkaingia fb nka like page ikaniongoza kujisajili. now najua nkipata shida wapi pa kuipeleka.

Karibu jf ila jifunze kuandika achana na X badala ya S
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom