Call me toddy Member Apr 14, 2019 5 1 Apr 18, 2019 #1 Habarini ndugu zangu. Mi ni mtoaji ushauri wa mambo yote yanayotukabili wanadamu.
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,033 10,673 Apr 18, 2019 #2 Karibu sana JF mukuu wetu hapa GT.
Enlightenment JF-Expert Member Apr 19, 2018 1,321 3,285 Apr 18, 2019 #4 Unamshauri nini kijana wa kiume umri miaka 28 anayetamani kuanzisha mchakato wa ndoa na mwanamke single mother mwenye watoto wawili?
Unamshauri nini kijana wa kiume umri miaka 28 anayetamani kuanzisha mchakato wa ndoa na mwanamke single mother mwenye watoto wawili?