Fyengeresya
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 750
- 337
Kaaaazi kwelikweli!!!!
Umeona eehhhh!Life bila challenges kiukweli litaboa.... Binadamu tuna tabia ya kutake vitu for granted vikishakuwa rahisi kuja.
Mbona nipo sana tu rafiki?By the way, Fixed Point ulipotelea wapi? wcb.
Pia uwezekano wa serious commitment kwa mwanamke toka kwa mwanaume huweza kuongezeka pindi huyo mwanamke anapo banabana kwa sababu udadisi utamjaa mwanaume.
Anajiuliza yani ni kwanini akatae? Kuna nini? Ana nini? Kama ndo mwanaume yuko kwenye ndoa basi anaanza kuamini makali yake ya kutongoza yameisha na atakomaaa mpaka ajiaminishe kuwa bado yumo kwa kukubaliwa.
Nadhani kuna zaidi ya kutaka na (kupewa ama kukataliwa) kwenye kutongoza, kuna hisia nyingi tofauti
ha haaa, sema tu rafiki
Wala usiwe na hiyana mtoto wa watu,kwani hata nikikusumbua weeeeeee mwishoni si nitakupa vile vile...........
kaka mkubwa ina maana pia nikutaka kuharibu skills zako za kutongoza zipo hai...
Tunaita kuweka akiba ya maneno!!!!!!!
ha haaaa, huwa nawapenda saaana wanaume ambao na-hang nao, mtu kwa mtu, halafu hanitongozi. Nachukulia kuwa ananiheshimu sana.
hapana rafiki..... mimi ni friendly sana na napenda kuwa free. sasa mtu asiponiangalia kwa jicho jingine nakuwa free sana na ku-have fun, mambo mengine yakiingia tu yananikatiza furaha yangu na najiona mnyonge sanaRafiki irakuwa unawaangalia kwa jicho la "we niguse uone" lol
ha haaa, hayaHahahaaaaaa.......
Let me zip my lips for my own good ....lol!!!!
hapana rafiki..... mimi ni friendly sana na napenda kuwa free. sasa mtu asiponiangalia kwa jicho jingine nakuwa free sana na ku-have fun, mambo mengine yakiingia tu yananikatiza furaha yangu na najiona mnyonge sana
Wanawake baada ya kwenda shule wamegundua sex is good na ina faida tele kwao...sasa hawasumbui sana cha ajabu ni wanaume ndo tunalalamika eti wanaachia sana...sasa wafanyaje?
I can attest this rafiki........ usiulize zaidiKabisa kabisa na ujue tunaeza kusubiria hata miaka saba kama Yakobo na Raheli
Cc Fixed Point Kongosho
lol! kumbe hiyo nayo ni siri rafiki?Hahaaa basi rafiki kumbe siri yako ndio hiyo kama ya delila....
Weeee ishia hapo hapo! !!!!!
Usiwe msumbufu ila uoneshe uwezo wa kuchuja maombi na kuweza kuongoza mijadala inayohusiana na ombi lililoletwa yaani rationale, significance na kama hayo sio buruza twende asee utadharaulika my dada!!!!!!
Wala usiwe na hiyana mtoto wa watu,
Kitu chenyewe kupewa buree!!