Kilinzibar
Senior Member
- Mar 6, 2008
- 124
- 1
Nafikiri Bora Kutuma Txt Tu Mana Inawezekana Hata Hiyo Simu Ikawa Kwenye Silent Mode It Late Nite Remember!!!!!!
Yes its PM and not AM kwa sababu najua 3 am atakuwa analala tuu but be honest Can you really trust this guy with our national security?
Personally i wouldnt trust him with anything. He is not the leader i could trust. He broke that trust the first 3 months after he was elected
Game Theory, ili nisiende nje ya mada naomba kuelimishwa kabla ya kuanza kuchangia, hiyo Red Phone ni ya kazi gani hasa? Ni ya rais kuitumia tu kuwapigia watu simu, ni ya rais kuitumia tu kupokea simu alizopigiwa au anaitumia rais tu kupiga na kupigiwa simu? Ina extension za kwenda kwa wasaidizi wake wengine? Usinione ni mbumbumbu, naonmba kupata elimu. Mwisho, hiyo sinema fupi inayoandamana na maandiko yako ikionyesha hao warumi wanaokatana miguu, vichwa na mikono inatisha, yaweza athiri kisaikolojia baadhi ya wasomaji wa JF; sijui kama waweza kuiondoa!! Samahani kwa usumbufu, mimi Mama Mdogo aka dada yako. Ni hayo tu.