johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,777
- 141,649
Nawasalimu kwa jina la JMT.
Siasa siyo uadui Chadema lazima waelewe kuwa mtuhumiwa hana hatia wala usafi hadi pale mahakama itakapotoa uamuzi wake.
Hivyo basi, itoshe tu kusema Freeman Mbowe siyo malaika na Ole sabaya siyo shetani.
Mungu ni mwema wakati wote!
Siasa siyo uadui Chadema lazima waelewe kuwa mtuhumiwa hana hatia wala usafi hadi pale mahakama itakapotoa uamuzi wake.
Hivyo basi, itoshe tu kusema Freeman Mbowe siyo malaika na Ole sabaya siyo shetani.
Mungu ni mwema wakati wote!