Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
Ukweli ni kwamba Itikadi za siasa zimekula uwezo wa kufikiri wa Vijana wasomi wengi sasa wamekuwa mapoza na wasio na faida kwa Taifa hasa kwa kuwa kila jambo kwao hutanguliza itikadi ya vyama vyao kisiasa wanapotakiwa kutoa maoni na kutafuta suluhisho! Ni Mtazamo tu.