Gluk
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 1,855
- 2,953
Umeongea ujumbe mzito sana mkuu. Sitaki kuamini wanaofanya haya kama wanatambua iliyoyaongeaWAFANYE wafanyavyo ila watambue uwepo wa Karma! Wajifunze kwa Ukiwaona Ditopile Mzuzuri (RIP)! HII DUNIA SII YETU, Usipofanya Haki panapostahili Haki, MUNGU ATAJUA CHA KUKUFANYA! Poleni wazazi, ndugu jamaa na marafiki, Wala msiwalazimishe kuamini kuwa Mkurugenzi kaua, waacheni watengeneze stori yao!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app