Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,570
- 19,442
Nimesikiliza hotuba za viongozi hao nikaona aibu kidogo kwani badala ya rais mwenyeji kuanza hotuba yake na kuishia kwa kumkaribisha mgeni wake, nimeona kuwa mgeni ndiye aliambiwa atoe hotuba kwanza halafu mwenyeji amalize. Sijui hiyo ni protocol ya namna gani.
kwa vile Ramaphosa aliongea kiingereza, siyo kizulu, ilikuwa ni vyema Magufuli naye afanye ku-reciprocate kwa kuongea kiingereza pia, siyo kiswahili.
kwa vile Ramaphosa aliongea kiingereza, siyo kizulu, ilikuwa ni vyema Magufuli naye afanye ku-reciprocate kwa kuongea kiingereza pia, siyo kiswahili.