Itengenezwe Sheria ya kuruhusu kuweza kuchukua Mafao kila baada ya Miaka 10, itasaidia sana

RNA

JF-Expert Member
Mar 27, 2013
1,584
2,683
Habari wana JF,

Nimewaza sana hivi haiwezekani ukawepo utaraatibu wa kuchukua Mafao kila baada ya miaka 10 kwa anaetaka?
Sababu:

1. Itakuwa kama motisha kila unapofikisha miaka 10 kazini
2. Itasaidia kupunguza ugumu wa Maisha kidogo, mara kila baada ya miaka 10 kazini unapata booster
3. Sio wote huweza kufika Umri wa Kustaafu.

Wana JF mnaonaje Hili?
 
Ingependeza pia wakawa wanatoa ushauri kwa wanaopokea hayo mafao ili yasitumike kwenye mambo yasiyo ya msingi. Wengi wakipokea mafao unakuta wanatumbua mpaka mifuko inakuwa meupe. Mtu akipokea mafao anajikuta kaamkia utajiri, anafikiri zitabaki tu hela haziishi. .
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Habari wana JF ,nimewaza sana hivi haiwezekani ukawepo utaraatibu wa kuchukua Mafao kila baada ya miaka 10 kwa anaetaka ....
Yaani kama aliefuta fao la kujitoa sijajua kichwani mwake alikuwa anawaza nini? Maana hata dhana ya kujiajiri huanza na kuajiriwa ndio mtu anapata mtaji
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Ingependeza pia wakawa wanatoa ushauri kwa wanaopokea hayo mafao ili yasitumike kwenye mambo yasiyo ya msingi. Wengi wakipokea mafao unakuta wanatumbua mpaka mifuko inakuwa meupe. Mtu akipokea mafao anajikuta kaamkia utajiri, anafikiri zitabaki tu hela haziishi. .
Kweli kabisa
 
Yaani kama aliefuta fao la kujitoa sijajua kichwani mwake alikuwa anawaza nini? Maana hata dhana ya kujiajiri huanza na kuajiriwa ndio mtu anapata mtaji
Kuna viongozi huwa wanajifikiria wao kwanza
 
Habari wana JF ,nimewaza sana hivi haiwezekani ukawepo utaraatibu wa kuchukua Mafao kila baada ya miaka 10 kwa anaetaka/...
Tatizo hayo mafao yakishaenda uko huwa wanaona kama ni ya kwao wewe hayakuhusu, sasa ili usichukue kila siku wanayatungia sheria!

Embu wewe fikiria kitu kimoja,Viongozi wanaotakiwa kusimamia Haki ndio hao wanaotunga sheria ngumu za kukuzuia wewe kupata haki yako, na kibaya zaidi haki zao wanachukua.
 
Tatizo hayo mafao yakishaenda uko huwa wanaona kama ni ya kwao wewe hayakuhusu, sasa ili usichukue kila siku wanayatungia sheria!!!Embu wewe fikiria kitu kimoja,Viongozi wanaotakiwa kusimamia Haki ndio hao wanaotunga sheria ngumu za kukuzuia wewe kupata haki yako, na kibaya zaidi haki zao wanachukua.
Tatizo kuna baadhi ya wabunge huwa ni wapiga makofi tu hawafikirii sana
 
...wengine labda wataona baada ya miaka kumi nafanya kitu kingine, hivyo anaachia office, wengine wapate ajira..good idea mkuu.
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Dah.... Labda tuombe ikapitishiwe kwenye Bunge la Somalia. Maana wabunge wetu wamejaa tamaa na choyo......wapo pale bungeni kwa maslahi ya vitambi vyao 🤭
 
Habari wana JF,

Nimewaza sana hivi haiwezekani ukawepo utaraatibu wa kuchukua Mafao kila baada ya miaka 10 kwa anaetaka?
Sababu:

1. Itakuwa kama motisha kila unapofikisha miaka 10 kazini
2. Itasaidia kupunguza ugumu wa Maisha kidogo, mara kila baada ya miaka 10 kazini unapata booster
3. Sio wote huweza kufika Umri wa Kustaafu.

Wana JF mnaonaje Hili?
Kwa bunge lipi? Hili la kina Mtakavangu la kuongelea ngono, nguvu za kiume au wabunge wa kike kunyonywa matiti na wake zao?
Au unaleta sarakasi na kilio tu?
 
Kwa bunge lipi? Hili la kina Mtakavangu la kuongelea ngono, nguvu za kiume au wabunge wa kike kunyonywa matiti na wake zao?
Au unaleta sarakasi na kilio tu?
Hahahaa hili hili
 
Asee ingekua poa,tatizo anaetakiwa kulipitisha nimbunge ambaye huyo huyo alizuia fao la kujitoa
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Asee ingekua poa,tatizo anaetakiwa kulipitisha nimbunge ambaye huyo huyo alizuia fao la kujitoa
Daa wabunge wetu bana ujue kuna vitu vingine huwa wanapitisha vitu bila hata kuvijua kiundani
 
Back
Top Bottom