Aaah kuna wanawake wengine fyongo sana ...haimuumizi ata kidogo. Kuna Dada mmoja kitaa kawajengea nyumba ya kitabe familia yake yani mamake na wadogo zake yani kiuno chake kwa waume za watu ndo capital yake ...ana Maisha mazuri kinyama yani ila shida ndo hapo ndoaa bado ...tunajichekesha kwake tu ili tupate kulelewa na sisi
Yeeahp yeeahp yeeahp...in BRIEF details"Watu wanapofunga NDOA na kuahidi kuwa Kifo tuu ndo kitawatenga baina yao(Mke&Mume)" yaani kwa maana nyingne huyo mchepuko mwenye dhumuni la kuwa virus kwenye ndoa na kuleta malumbano na mwisho Divorce kwa jina lingne yeye ni "KIFO"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.