Italy probes deaths of 26 Nigerian women from migrant boats

Donatila

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,557
21,497
_98632369_italyrefcoffinepa5nov.jpg
ITALIA: Mwendesha Mashtaka anachunguza vifo vya Wahamiaji Wanawake 26 kutoka Nigeria. Yadaiwa wamenyanyaswa kingono kabla ya kuuawa.

- Miili hiyo imebainika baada ya Meli ya Kihispania Cantabria iliyobeba Wahamiaji 375 kutia nanga katika pwani ya Salerno.

- Aidha, Wahamiaji 5 wanashikiliwa kwaajili ya mahojiano.

======
Italian prosecutors are investigating the deaths of 26 Nigerian women - most of them teenagers - whose bodies were recovered at sea.

There are suspicions that they may have been sexually abused and murdered as they attempted to cross the Mediterranean.

Five migrants are being questioned in the southern port of Salerno.

A Spanish warship, Cantabria, docked there carrying 375 migrants and the dead women, following several rescues.

Twenty-three of the dead women had been on a rubber boat with 64 other people.

Italian media report that the women's bodies are being kept in a refrigerated section of the warship. Most of them were aged 14-18.

Most of the 375 survivors brought to Salerno were sub-Saharan Africans, from Nigeria, Senegal, Ghana, The Gambia and Sudan, the daily La Repubblica reports.

Among them were 90 women - eight of them pregnant - and 52 children.

There were also some Libyan men and women on board.

People-smuggling gangs charge each migrant about $6,000 (£4,578) to get to Italy, $4,000 of which is for the trans-Saharan journey to Libya, according to the Italian aid group L'Abbraccio.

Many migrants have reported violence, including torture and sexual abuse, by the gangs.

Of them, 111,552 (nearly 75%) came via the Central Mediterranean route to Italy. The number who died on that route was 2,639, the IOM says.

The others arrived in Greece, Cyprus or Spain. The total is less than half the 335,158 who arrived in the same period of 2016.

Last year the total for Greece was higher than that for Italy.



Source: BBC
 

Attachments

  • upload_2017-11-6_14-26-23.gif
    upload_2017-11-6_14-26-23.gif
    51 bytes · Views: 33
Hili jambo nashindwa kulielewa! Nchi kama Nigeria ambayo imeongoza kwa kuwa na uchumi mzuri Africa ndiyo imekuwa kinara wa wakimbizi kuelekea Ulaya, zipo nchi zenye migogoro ya kisiasa lakini hii hatari kwanini hawaijali?
 
karibuni Tanzania,nchi yenye amani tele,mpaka baadhi wanatamani waitoe ili waone vita na njaa zinakuwaje.Watu wanapiga kelele njaa,mateso,unyanyasaji,uonevu lakini wamo humuhumu hatuwasikii wana cross borders to european countries wakikimbia mateso na unyanyasaji.God bless my country Tanzania..
 
Unakimbia Africa, bara lenye utitiri wa utajiri..... Kwenda kuosha vyombo ulaya. Nimeshindwa kabisa kuwaelewa
 
Back
Top Bottom