Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,743
Kwa maana hio unapokuja juu kimaendeleo na kiuchumi na kitechnologia ni kupambana na Mmarekani, yaani mna akili zilezile kuwa hakuna taifa litakaloipita Marekani kama mnavyodanganywa, sasa kama marekani sasaivi ina nguvu kwa nini anateseka na technology ya mchina, anahofia nini hasaa wakati watu wanafanya business zao halali kimataifa , zama zimebadilika now, anatumia nguvu kubwa sana kushawishi mataifa ya Europe kutodeal na mchina, ooooo maskini taifa kuu linaangamia itabaki historia
Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
Well said mkuu, thank you - tatizo linalo kumba wengi wetu ni kushindwa kutofautisha propaganda za main stream media za huko Merikani na hali alisi ya nani anaongoza Duniani katika masuala ya uundaji wa 5G radio transceiver zinazo tumiwa na service providers wa cellphone networks - ukweli wa mambo ni kwamba kampuni ya Huawei ndio unaongoza katika teknolojia ya 5G, vile vile Huawei ndio wanamiliki takribani asili mia 90 ya patents za 5G i.e intellectual properties (IPs)hivyo washindani wao wakitaka kuzitumia watalazimika kuzikipia patents au kukataliwa kupewa kibali na Huawei - kwa kifupi hivi sasa kampuni ya Huawei ndio imeshikiria mpini wa teknolojia hii, kampuni za Sweden, Finland na America zimeshindwa kabisa data throughput kufikia au kuzidi za Huawei kutokana na teknolojia yao kuwa ni improvised 5G i.e not a truly 5G ndio maana ziko dead slow compared na Huawei.
Bottom line is: All Nations around the World should have a choice - aidha wakubali kupotoshwa na fitina za kibiashara za America kuhusu Huawei huku wakijua kwamba watakuwa stuck na teknolojia ya ulaghai ambayo sio truly 5G au wakubali kununua teknolojia ya 5G kutoka kampuni ya Huawei ili wasibaki nyuma kimawadeleo - chaguo libaki kwa mataifa yanayo husika bila ya kushinikizwa na USA kutokana na uchoyo na roho ya kwa nini yenye lengo la kutaka kuididimiza kiuchumi China - hivi sasa Dunia imekwisha shitukia fitina za USA juu ya kampuni ya Huawei - crusade ya Trump na wenzake dhidi ya Uchina zita shindwa eventually.