Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
Nimetazama Nchi Nyingi zilizofanikiwa Kuuondoa Utawala Dharimu hapa Duniani Walitumia Njia Nyingi Mno Ambazo cmd kama wapo mafunzoni tu au tuseme wana west tu time
Bila kuwa na Jeshi lao no Heshima kwani wanayofanyiwa ki mtazamo wa kawaida ni kukoseana Heshima na uvunjaji wa Heshima
Ni kweli Nchi ipo hoi kiuongozi na hili halifichiki hata popote.
Kwa Mwenzo huu Damu ikimwagika ndio kidogo macho ya wakuu wa Dunia watatokeza kujua kunani tena Tanzania yenye Amani ya kwenye Maandishi nini kinaendelea na Selikari yetu inavyoogopa hao majamaa watasema tutayamaliza na hakutatokea tena hala kama hii japo inaendelea tu.
Kuna watu hawatakiwi kuwa viongozi katika nchi hii haswa wale waio jali kitu ndio haya matatizo yanajitokeza na hayato isha kwa mwendo huu...
VIONGOZI WEKENI NCHI SAWA ITAWALIKE
Bila kuwa na Jeshi lao no Heshima kwani wanayofanyiwa ki mtazamo wa kawaida ni kukoseana Heshima na uvunjaji wa Heshima
Ni kweli Nchi ipo hoi kiuongozi na hili halifichiki hata popote.
Kwa Mwenzo huu Damu ikimwagika ndio kidogo macho ya wakuu wa Dunia watatokeza kujua kunani tena Tanzania yenye Amani ya kwenye Maandishi nini kinaendelea na Selikari yetu inavyoogopa hao majamaa watasema tutayamaliza na hakutatokea tena hala kama hii japo inaendelea tu.
Kuna watu hawatakiwi kuwa viongozi katika nchi hii haswa wale waio jali kitu ndio haya matatizo yanajitokeza na hayato isha kwa mwendo huu...
VIONGOZI WEKENI NCHI SAWA ITAWALIKE