Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,820
Mkeo au hata mzazi wako akigundua kuwa hapa jamvini wewe ni kutetea matumizi ya tigo na ufirauni, pia ni mtetezi wa ngono nje ya ndoa.
Sipati picha.
Sipati picha.
atajua tu kwamba everything you say may be fake, kama vile ID unayotumia, location uliyoweka, msimamo wa kisiasa na kijamii na hata vitu unavyosifia
very true aiseetotally agree with u. japo wakati mwingine nawaza, Bible inasema '' awazavyo mtu ndivyo alivyo..'', sijui inakuwaje hapa. Ila kiukweli, mahali kama hapa huwezi kuijua true character ya mtu
Karibu kwenye chama mkuu cha infiii
Anaweza akafurahi kama nae ni mpenzi/mshirika wa hayo mambo kisirisiri!!Kama sio ndo hivyo tena ataanza kukuangalia na kukufikiria tofauti na ilivyokua mwanzo!
Hatashangaa mkeo si huw mnaji express wote?[/QUOTE
mmmhhhhh
"hupati picha" jibu tayari
unalo mamake
Kwa mwanaume kugundulika anatumia ID gani ni ngumu. Ila kwa sisi wanawake, mme akikubembeleza kidogo tu unatoa siri zako zooote. Ndio maana mimi najitahidi kuwa makini na michango yangu. Maana siku Mr akinibana nampa kila kitu.
Nyumba Kubwa bana! Humu hakuna cha mwanaume wala mwanamke. Watu kibao, wake kwa waume, wana majina zaidi ya moja.
Kwa hiyo hata kama mwezako akikugundua kwa ID moja na akakupa kila kitu kama ulivyosema, haina maana hana ID nyingine ambayo huijui.
JF ni msitu wenye kiza kinene. Usije shangaa siku moja ukajua kumbe hata huyo mumeo naye yupo humu.