Ngatele
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 808
- 704
Namba za usajili wa magari kwa sasa zimefikia herufi za kuanzia na C, sina hakika kama zimeishafikia CCM but I think bado hazijafika CDM. Wewe kama mwanachama au mpenzi wa CDM utajisikia vipi utakaponunua gari na wakati huo namba za usajili wa gari yako zikawa na herufi za CCM, mfano ukapewa namba T125CCM!!!???