chavka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 223
- 46
Ashakum si matusi Wahenga walisema mficha uchi hazai hili ndio naliepuka mm. ivi karibun nimejiona ninakasoro ktk majambozi ye2 ya ndani nikipiga moja2 sipand tena na hata nikijilazimisha itapanda itashuka. ila kipindi cha nyuma sikuwa hivyo nilikuwa nauwezo wa kuunga nisha moja kwa mbili then kutafuta latatu haikuwa tabu kabisa na haja ya nafsi yangu ilikuwa paka nitimize5 lkn hivi sasa sijielewi mpaka wife ananituhumu kuwa natoka nje ya ndoa. sijui nifanyeje na ktk ndoa nina miaka3 nisaidien wanajamii